Deogratius Nalimi Kisandu uko wapi Teacher?

Huyu jamaa Matatizo ya Afya ya Akili plus uchawi wa wasukuma vilimtoa mchezoni Mapema lakini the guy was too bright .

Kama mtu inatoka familia Masikini na ambazo sio educated you need to protect Afya ya Akili Sana na kuwa vizuri kiroho kwa jinsi jamaa alivyokuwa inaonekana walimtoa mchezoni .
 
Fb alikua anasema ikulu wamemuweka magufuli feki, original niyeye. Hafu hapo anatukana matusi haswa kuelekea Tiss na ccm.
Sema jamaa antunza kumbukumbu balaa. Naona hata Ukitaka risiti zake za shule ya msingi anazo.
Ticha Og
 
Fb alikua anasema ikulu wamemuweka magufuli feki, original niyeye. Hafu hapo anatukana matusi haswa kuelekea Tiss na ccm.
Sema jamaa antunza kumbukumbu balaa. Naona hata Ukitaka risiti zake za shule ya msingi anazo.
Ticha Og

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…