Huyu jamaa ni mmoja wa watangazaji bora kabisa kwenye tv nchini......ana kwmbia ngozi isikakamae kama muhengaKila nimsikiaga akilitaja hilo neno "fashioooooon" najisikia kucheka mbavu sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu anaitafta 40 kama hajaifkishaMbona sio mingi hiyo? Kwani Jide ana mingapi?
Iv anakuaga na mtt huyu bi dada36 c mchezo kwa mwanamke
Haihitaj uchunguz mwingimkuu umejuaje?
Hahaha ...dahKumbe mlikuwa mnamponda huku mnampenda, nimegundua kumbe wanaume wengi humu ndio mashabiki wa kile kipindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lili si yupo clouds au mimi ndio sielewi??Hii ni habari mbaya sana kwangu!
Huwa napenda kumuona Lilian kamanzima basi roho yangu inasuuzika sana
Lol, tupo kwenye fashooooon hayo ya wapi tena???Mungu anisamehe tu, yaani nikiwaona mapunga, au mwanaume anayejifanyafanya kama mwanamke huwa nakasirika sana natamani nimpige ngumi ya uso. najua kuwa mimi pia nina dhambi lakini Mungu awasaidie watu wa aina hiyo aisee. unajua inasemekana kwenye ulimwengu wa shetani, roho ya homosexuality ni roho kabisa, ni kitengo maalumu kabisa cha shetani kuharibu ulimwengu, ni mapepo yanakuwa yamewaingia na hata ufanyeje huwa hawakuelewi kwanini unawakataza wasijisodomize. dunia imeisha.
Mbona kitambo sana Mustafa alifanyiwa sugery ya kuondolewa nyama na mafuta... ndio amekua hivyo alivyo.Huyu Mustafa Hasanali amepatwa na nini tena ? Ule ubonge umeisha kwa diet au yake mambo mengine ya duniani? Duuuuh!!!
Unachanganya mkuu kale ka clouds kana umbo Dogo Dogo Hivi k anaitwa Lilian nani sijui!Lili si yupo clouds au mimi ndio sielewi??
Deo yupo eatv
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Oooh thats right nimeelewa..... tangu Deo aache na mimi niliacha kuangalia Nirvana.... sasa nina sababu ya kurudi ila pole yako utamkosa Lilian. lolUnachanganya mkuu kale ka clouds kana umbo Dogo Dogo Hivi k anaitwa Lilian nani sijui!
Huyu kamanzima alimpokea deo huu muda ambao alikuwa hayupo