DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Mkuu hivi kumbe humu pia watu tunafatiliana kama tuko mtaani!Ndio maana kumbe unapenda sana kusahihisha nyuzi za watu wakikosea kuandika vizuri
AiseeeShida ni hii mtu unaona umempatia mtu kumbe anakulia timing anakutumia anakupa hela unaagiza mizigo anakuja kwa mtindo wa wizi anakuibia kila kitu halafu anakuita anakupa pole na anasepa au anakupa kapesa kadogo unaanza kila siku upya
KakaUsiniandame nikachukia nikachafua hali ya hewa halafu ukanisababishia BAN. Wakati humu ndio kazini kwangu 😀😀😀
Kwani hapa si tupo mitaa ya jfMkuu hivi kumbe humu pia watu tunafatiliana kama tuko mtaani!
Mzee mwenzangu 😀Kaka
HAbari kakaMzee mwenzangu 😀
Alhamdullilah ndugu kila kitu kipo sawa japo ni flu tu na hii weatherHAbari kaka
Nafurahi kusikiaAlhamdullilah ndugu kila kitu kipo sawa japo ni flu tu na hii weather
Ujue wewe Unique flower hata uje na id ya namna gani mwandiko wako nitaujua tu. Ni wewe.Upo Arusha dar tena kwa wameru wewe ni mmeru 🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana unahasira