Kama wachaga sjui ni wa kaskazini baadhi. Hawawezi kusema ‘okota’ wao wanatamka ‘lokota’Wabena, wakinga, wahehe hawawezi kutamka neno mpaka, wao husema MBAKA muulize kabla lake
Umepigwa na kitu kizito kichwani 😂?. Muone daktari.Sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
Mmh!Hiyo depression yako pambana nayo usitupigie kelele hapa,unafikiri ukubwa unapimwa kwa kua na depression? Kwahiyo wote wasiokua na depression hawajabalehe?
Unajisifia ujinga? Kua na depression ndio kipimo cha kua umebalehe? Pambana na matatizo yako au kama vipi nikupe namba ya muuza majeneza?
Mkuu! Sio sawa unajuaHiyo depression yako pambana nayo usitupigie kelele hapa,unafikiri ukubwa unapimwa kwa kua na depression? Kwahiyo wote wasiokua na depression hawajabalehe?
Unajisifia ujinga? Kua na depression ndio kipimo cha kua umebalehe? Pambana na matatizo yako au kama vipi nikupe namba ya muuza majeneza?
Batalokota mu nyavu, sawa na wacongomanKama wachaga sjui ni wa kaskazini baadhi. Hawawezi kusema ‘okota’ wao wanatamka ‘lokota’
Nakemea pepo la deppression. Ha ha ha.
Feelings are transient. Deppression ni wingu tu linapita.
Unatakiwa kuwa katika state of nirvana,in which you have no gross feelings.
Mimi nikiwa na stress huwa natembelea hospital nikitoka hapo natoka na nguvu mpya kabisa maana nakutana na mtu ana umwa wa leo na kesho ila ana tabasamu najikuta ni mjinga narudi kupambana tena.
Sio kila changamoto ni ya kimahusiano mkuu. Hata mimi nilidhani kaumizwa kihisia, ila hakuna kitu kigumu kwa mtu mzima kama kuyumba kiuchumi.Lovelovie unapitia kitu kinaitwa wanaume wa jf umiza ubongo. Hawajyi wanataka nini kila daily wanakuaminisha humu kuna ndoa ila humu hakuna ndoa . Ila hawasemi wengi ni mariooo tu nawanakupiga na vitu vizito hadi unazima kimaukweli ushauri wangu kunywa maji mengi anza na kusali muombe Mungu msamaha umrudie yeye anaweza na anajua unapitia nini msirikishe ita roho mtakatifu akusaidie uweze kupata njia ile sahihi kwako atakuja wakwako hatojali wewe ni single mom .Good day usimshirikushe mtu wewe loa ba Mungu wako anatosha abafariji kuliko mtu yeyote.
Sana tulipitia hilo ila kila kitu Mdhirikishe MunguSio kila changamoto ni ya kimahusiano mkuu. Hata mimi nilidhani kaumizwa kihisia, ila hakuna kitu kigumu kwa mtu mzima kama kuyumba kiuchumi.
Hii inaitwa Double standard toka kwako,Mkuu! Sio sawa unajua
Elewa hali aliyonayo lovie na upotezee baadhi ya mambo
Muhimu wote tuwe na furaha, usiandike maneno ya kuumiza hivi.
Videm vya siku hizi vikikosa hela vinapata depressionSasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.