Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Sawa mkuu ngoja nikachezee gameNyinyi hamna shda hta kwenye jaba mnakaa
Hawa wa upande wa pili wengi kinacho wasumbua sana ni mapenzi, kaachwa/katelekezwa/kazalishwa na mtoto katelekezewa/kachelewa kuolewa asilimia kubwa wako huko, japo pia ni kweli ni mawazo yanayo watafuna sana ila chanzo ni mapenzi wengi waoLucha sikutegemea iyo kauli itoke kwako mkuu
Huyo kweli unaweza mhurumia sasa Mimi ni tofauti jamaa namdai na nakutana nae Ila kila nikimwambia anilipe ni mwendo wa sound tu na Pesa sio kwamba hana Pesa anayo Ila ndio hivyo binadamu wengine sijui wameumbwaje,Sio kwamba ameikalia tu, kuna wengine wanapitia hali ngumu sio kwamba hawataki kulipa. Mfano mimi kuna mtu nimemkopesha sasa yapata zaidi ya miezi miwili yupo kitandani hajiwezi, huyo utasema ameikalia hela tu?
Nimeshapoa mkuu depression is real watu wengine sijui wanahisi wenzao ni mabillionaire,Pole mkuu kwa changamoto
Mkuu shule uliosoma ada ilikuwa bei gani? Maana hii ngeli uliyoshusha hapa Haina tofauti na NGELI ZA NOMINO KilimbatzzWhose? She need right people... If wrong around her suffering is Real
Ila figo76 unajua ni mrembo Pisi KaliSikuwa nalijua hilo mkuu
2014 najiunga jf ilikuwa nzuri sana jf, ila sasa dah ni changamoto kwa kweliAisee pole sana, kwasasa huu uzi usingeuleta hapa, kwa sasa jf ni platform ya kipuuzi kama utataka ushauri hasa kwa nyie wanawake.
Hapa ni full ngono, si ajabu pm yako inasongwasongwa sasa hivi watu wakitaka uroda kwa kisingizio wakufariji.
Kwa mambo ya ushauri bora hata upost fesibuku sio jf kwa sasa.
Hawo watu ndio watamtumbukiza shimoni kabisa, atafute muda awe peke yake ili akili ipate utulivu, kelele nyingi zisizokuwa na sababu ni moja wapo Sababu.Make sure you stay with people around you, do not avoid people at this moment.
😂 amekutuma sio?Ila figo76 unajua ni mrembo Pisi Kali
Huyo mtaftie dawa kwa Mshana JrHuyo kweli unaweza mhurumia sasa Mimi ni tofauti jamaa namdai na nakutana nae Ila kila nikimwambia anilipe ni mwendo wa sound tu na Pesa sio kwamba hana Pesa anayo Ila ndio hivyo binadamu wengine sijui wameumbwaje,
Well said 👏👏looking back at the times we were raised compared to these trying times, we were raised never to expect much from people, but I think we have failed you guys, we are not transferring that 'value' to you.
But you can learn still.
Your peace is in the inner you, not around, not surround, but within you girlie❤️
una depression au uko bored? au hauna hela?Afya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana💔😩
PoleeAfya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana💔😩
Chukua namba yangu uje tuongee shida ni nini kipenzi, nitajisikia vyema kuwa msaada karibuAfya ya akili ni muhimu sana, wahanga wa depression kwa sasa ni sisi Vijana💔😩