Derby ikurudiwa na vicious cycle itaendelea.

Derby ikurudiwa na vicious cycle itaendelea.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Presidency ni kitu kibaya sana, inategemea namna utakavyoishughulikia la sivyo utaharibikiwa. Mabinti zako wanasubiri kuona namna utakavyolishughulikia swala la dada yao aliyepata mimba akiwa shuleni ili nao wajue wafanye nini.

Bodi ya ligi itashindwa kushughulikia timu nyingine zitazogomea mechi kama Simba haitapewa adhabu nene.
 
Presidency ni kitu kibaya sana, inategemea namna utakavyoishughulikia la sivyo utaharibikiwa. Mabinti zako wanasubiri kuona namna utakavyoishughulikia dada yao aliyepata mimba akiwa shuleni ili nao wajue wafanye nini.
Precedence
 
Back
Top Bottom