TFF hamna VAR,mnajua wazi waamuzi wetu wote wamegawanyika katika ushabiki wa timu hizi mbili za kariakoo,waamuzi wamekuwa wakitia aibu kuchezesha mechi hizi zinazoangaliwa na watu wengi nje ya nchi.
Kwa nini msilete mwamuzi kutoka nje?
Huyo aragija ni yanga na bahati mbaya hawaoni aibu kuubeba upande wanaoushabikia.Kibaya zaidi kunakuwepo na ahadi za pesa zilizoibwa serikalini kwa waamuzi kama hawa.
Kwa nini msilete mwamuzi kutoka nje ili kuondoa malalamiko na kuzuia hisia za hasira kutoka kwa mashabiki?
Hamjui mechi hizi zinaweza kuleta maafa makubwa mkijifanya vichwa ngumu kudhani watanzania watakuwa vile vile siku zote?
Mimi nawatahadharisha,kauli za viongozi wa yanga kulaumu waamuzi,huku wao wakiwatumia waamuzi kushinda kirahisi mechi zao ngumu,siku watakapobebwa tena kama ile mechi iliyopita,jiandaeni kudhibiti dhahama kubwa kutoka kwa mashabiki wenye hasira.
Mkishauriwa,muwe mnasikia
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwa nini msilete mwamuzi kutoka nje?
Huyo aragija ni yanga na bahati mbaya hawaoni aibu kuubeba upande wanaoushabikia.Kibaya zaidi kunakuwepo na ahadi za pesa zilizoibwa serikalini kwa waamuzi kama hawa.
Kwa nini msilete mwamuzi kutoka nje ili kuondoa malalamiko na kuzuia hisia za hasira kutoka kwa mashabiki?
Hamjui mechi hizi zinaweza kuleta maafa makubwa mkijifanya vichwa ngumu kudhani watanzania watakuwa vile vile siku zote?
Mimi nawatahadharisha,kauli za viongozi wa yanga kulaumu waamuzi,huku wao wakiwatumia waamuzi kushinda kirahisi mechi zao ngumu,siku watakapobebwa tena kama ile mechi iliyopita,jiandaeni kudhibiti dhahama kubwa kutoka kwa mashabiki wenye hasira.
Mkishauriwa,muwe mnasikia
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app