ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Bodi ya ligi imepanga maboresho ya ratiba ya ligi kuu NBC, huku ikiipa Derby ya Kariakoo tarehe 8 March
Simba pia atarudiana na Azam tarehe 24 March katika Mzizima derby, huku Yanga wakirudiana na Azam tarehe 10 April
Usiku wa deni hauchelewi
Kumbuka Simba alipigwa ataingia kwenye record ya kufungwa mara 5 mfululizo na laZima afungiwe na Yanga
Binafsi nawapongeza bodi ya ligi kuipanga hii mechi mapema ili tujipigie my wetu Kwa Sasa alikuwa ameanza kupata ugonjwa wa chekelea unaomsumbua mno
Yanga bingwa
Simba pia atarudiana na Azam tarehe 24 March katika Mzizima derby, huku Yanga wakirudiana na Azam tarehe 10 April
Usiku wa deni hauchelewi
Kumbuka Simba alipigwa ataingia kwenye record ya kufungwa mara 5 mfululizo na laZima afungiwe na Yanga
Binafsi nawapongeza bodi ya ligi kuipanga hii mechi mapema ili tujipigie my wetu Kwa Sasa alikuwa ameanza kupata ugonjwa wa chekelea unaomsumbua mno
Yanga bingwa