Derby ya leo iwe dira yetu Yanga SC

Watazoeana tu tena wakija mafundi wala huna haja ya kuwapa muda
Yanga alipigwa ndani &nje na Rivers united sababu ilikuwa timu bado haijawa na muunganiko mzuri. Pia makocha huwa na ugumu kupanga first 11 kukiwa na usajili wa idadi kubwa ya wachezaji. Hebu jaribu kupitia pitia Makala mbalimbali za soka utanielewa ninachokisema.
 
Kwani kuzoeana ndo kunakupa ushindi tu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…