katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Leo nimepanda toyo sasa kila saa na sema huu ubani unanukia wapi?kila saa kumbe ni dereca bodaboda kauwasha kaweka hapo mbele ilo bidii nimwambie simama nilicheka mpaka nikaishiwa nguvu hadi bodaboda hii nikali eti anafukuza majini.
Halafu huwa anajisikia raha akiuwasha.
Halafu huwa anajisikia raha akiuwasha.