Leo nimepanda toyo sasa kila saa na sema huu ubani unanukia wapi?kila saa kumbe ni dereca bodaboda kauwasha kaweka hapo mbele ilo bidii nimwambie simama nilicheka mpaka nikaishiwa nguvu hadi bodaboda hii nikali eti anafukuza majini.
Halafu huwa anajisikia raha akiuwasha.
Hivi ubani huwa kazi yake haswa ni nini,maana kuna imani nyngi juu ya ubani wengine kuita majini,wengine hutumia katika ibada zao sasa huyo naye et anafukuza majini au anayakaribisha? Mi nikajua labda kuleta harufu tu