Dereva Huyu mmhhh!!

kobonde

Senior Member
Joined
Jan 6, 2010
Posts
154
Reaction score
19
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
 
mmhhhh
Je ulifanyia full service
na ilikuwa na mafuta ya kutosha..
na je ni winter au summer?
hata hivyo 35 na 7 mmhh hapana
lakini kuna nyingine 40 kwa 5 ....balaa
 
huyo hajui afanyalo. ukiwasha gari weka gia ondoka ila usiondoke na mwendo mkari sana. moja ya tips za kubana matumizi ya mafuta. kwa magari makubwa ni tofauti kwa kuwa yanatumia upepo na comressor inazungushwa na engine na hivzo kama mifumo ya upepo ya gari lako imechoka ukizima umeme unavuja na kukulazimu kuliwasha na kuliacha kwa muda ili upepo ujae ndo uondoke tena.
 
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?

...inategemea na unapokwenda.

kama njia haina road blocks, Speed limit wala diversions,...utajichelewesha na nini? ...moto bati, spidi 120 hata kwenye kona!....hakuna cha speed governor hapo!...ila ni bora kwa safari hizo ukishafika, unaiacha kwenye silence kusubiria abiria ashuke!
 

ndoo maana nachukia via simu
nilikuwa naukosa huu utamu mmhh

"...There's something I want to tell you
There's something I think that you should know
It's not that I shouldn't really love you
Let's take it slow
When we get to know each other
And we're both feeling much stronger
Then let's try to talk it over
Let's wait awhile!"...


very nice
 
...umeupenda? ha ha, ...it's a dedication to my soulmate.


dahhh
she is the luckiest women in the world...
.......absolutely beautiful......
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo taabu ya magari yaliyotumika sana ...wakati mwingine for the sake of the passenger naona bora dk 35 za kuwarm plus saba za kuendesha zianze kwa pamoja...kibongo bongo wengi hawajali kuchelewa ilimradi wote mmefika
 
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?
:Huyo dereva hafai na hasipojirekebisha wenzake watamsaidia kuipigia masafa marefu halafu aishie kujipiga risasi bure.
Ushauri wangu ni warm up dkk 5 then jaramba dkk 40, hapo hata gari litaongea siku hiyo kukupa thanx
 
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?

hasara !!
 
mmmh hizo gari za ku-warm dakika 35 nafikiri zitakuwa ni dizaini ya 'pijo' zile za zamani maana ilikuwa inabidi uzi-warm mpaka uone exhaust pipe inatoa maji ndo unaanza safari,hizi gari za karne hii ni very sophisticated,huhitaji kui-warm,unawasha gari safari inaanza
 
Nafikiri dereva anajua udhaifu wa uendeshaji wake ndio maana anali warm up kwa mda mrefu ili akianza kwa speed 240 tayari kafika kilimanjaro kwa dk 7

Mmmhhhh, mimi simo!
 
Ndiyo maana mnaambiwa mkachukue madereva NIT.

Hawa wandugu wanaleta habari za madereva wa mwembeni humu si kila anayeweza kubadilisha gia ni dereva udereva hauangaliwi usoni.... chukueni madereva wenye ujuzi na kuipenda kazi yao!!!
 
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?

Huyo dereva hana leseni inaelekea ni deiwaka tuuu, wenye leseni kabla ya kuwarm kwanza tunacheki tairi kwanza zina presha ya kutosha? tunafungua boneti tunacheki maji kwenye rejeta yapo ya kutosha? tunapima oil ipo? baada ya hapo saasa unaelekea ndani ya gari taraaatibuu unawasha kuli warm unasikiliza mlio ni wa kawaida? baadaye unakanyaga krachi yako kuona gia inaingia sawasawa unasikilizia kama kuna miguno isiyo ya kawaida au mlio ni wenye kushangilia zoezi zima then unaweka gia namba moja huku ukisilizia nguvu ya engine ikilisukuma gari mbele kwa madaha na wewe unatathmini jinsi ya kuongeza mwendo pale unapoona engine inakubali/inajibu mapigo ya pistone, ukiona inakubali unaongeza kukanyaga crachi huku ukiingiza gia namba mbili na mlio wa gari utausikia ukibadirika ukipanda juu zaidi, speed nayo inaongezeka. kama barabara ni nyoofu gia namba tatu inahitajika hapo utaona mlio unakuwa constant lkn speed baba si mchezo mara utasikia nashuka nashuka! hapo utajua sasa safari imefikia mwisho, unashika breki na kupangua gia zako gari liko hoooooooooooooi. i wish ningekuwa dereva wako uone quelified dereva!
 
Mmh we hatari
 
Mmh we hatari

..Lk salama, usipande gari dereva akakukera ati!! akushushe kwenye kituo ambacho si chako, ama akushushe kabla ya kituo chako, au akupitilize mbali kituo cha mbali zote ni kero tupu.
 
Hii pia mpya basi tu dereva anajifanya mjuaji tena anajisifia Kama madereva wachache sana wanao warm gari kwa muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…