Dereva Huyu mmhhh!!

Hii pia mpya basi tu dereva anajifanya mjuaji tena anajisifia Kama madereva wachache sana wanao warm gari kwa muda mrefu.

Ukiona dereva anajisifia sana kabla ya safari ujue huyo si dereva ni deiwaka tuu hachelei kuleta visingizio safarini na kuliacha gari barabarani!!
 
Ulijuaje tena anadai ukiendesha sana gari inchakaa na kuisha thamani ndio maana anaendesha kidogox2
Ukiona dereva anajisifia sana kabla ya safari ujue huyo si dereva ni deiwaka tuu hachelei kuleta visingizio safarini na kuliacha gari barabarani!!
 
Ulijuaje tena anadai ukiendesha sana gari inchakaa na kuisha thamani ndio maana anaendesha kidogox2

hahahaha tukikaa vijiweni kila mtu anajisifia jinsi alivyo dereva mzuri, wale wazuri hawajisfii bana ni gia kwa sana tuuu
 
Mi nna swali hivi inakuwaje mtu una warm gari kwa dk 35 halafu unaendesha dk 7 na safari inaishia hapo. Hivi kweli hapa tutakuwa tumelitendea haki gari?

We una nung'unika?
wenzako hata hizo dk42 (total) hawazipati!
we unaendeshwa dk7 unalalama?
ops,unataka masaa mangapi ili ufike kilimanjaro?

Mara nyingi abiria walo ondolewa "kiegemeo" hua hawapati raha ya
safari hata kama utaendesha gari masaa24,...
Usije kua uliondolewa kiegemeo pia enzi hizo
 
Mbu, ukifika unabakia silence? wakati unakuwa ushachoka na safari umesinyaa na upepo wa barabara?
 
Reactions: Mbu
Hawa wandugu wanaleta habari za madereva wa mwembeni humu si kila anayeweza kubadilisha gia ni dereva udereva hauangaliwi usoni.... chukueni madereva wenye ujuzi na kuipenda kazi yao!!!
Babu Lao utajuaje dereva anaendesha vibaya au vizuri bila ya kuendeshwa kwanza?
 
Yeah! Coz vyote vyategemea ubunifu wa dereva na ubora wa gari lenyewe!
 
Hahaha! Gaga hujatulia weye yaani unataka Babu aendeshwe ?
Hapana yeye anasema mtu asichukue dereva asojua kuendesha vizuri. ndio nikamwambia huwezi jua dereva mzuri mpaka akuendesha kwanza au nimekosea Uporoto01 babe!!!
 
Mtoa mada nimekupenda
Kusema kweli wachangiaji woote mmeniacha hoi kwa lugha mliyoitumia..Big UP kwa sana.

Labda mwenzetu tuambie ungependa itumike dakika ngapi kuliwarm hilo gari na ngapi kuendesha hadi mwisho wa safari na gari likufikishe mwisho wa safari yako?
 

Duh aksante
Mbu nimeipenda hiyo ya kusubiri abirai ashuke ndo azime gari loh..........................sio dereva ashuke amsaidie abiria kushuka?
 
Reactions: Mbu
Haijalishi muda wa safari, inategemea je gari limefika mwisho wa safari? Gari likisimamishwa kabla ya kituo chake ni kero na pia likipitilizwa kituo kwa umbali mrefu sana pia ni kero vile vile.
 
Haijalishi muda wa safari, inategemea je gari limefika mwisho wa safari? Gari likisimamishwa kabla ya kituo chake ni kero na pia likipitilizwa kituo kwa umbali mrefu sana pia ni kero vile vile.

Duh hii ya kupitiliza hii............haiwezzekani ikawa ni kosa la dereva ameshindwa kujua barabara? Nawaza tu J_N
 
Mbu, ukifika unabakia silence? wakati unakuwa ushachoka na safari umesinyaa na upepo wa barabara?

haaaa, kumbe wadhani ni kwa upepo tu(wa matairi) ndio kunaifanya gari itembee?
Vipi usukani, Clutch (kwa manual,) Brake na Accelerator, Engine, uzito wa gari, Mafuta au hata umeme!) na mengineyo?
Hii ni fani, msiwadharau madereva jamani unless 'wamechakachua' leseni hao! :tonguez:

Duh aksante
Mbu nimeipenda hiyo ya kusubiri abirai ashuke ndo azime gari loh..........................sio dereva ashuke amsaidie abiria kushuka?

..mnh, Mwj1 dereva akishuka ni ishara safari imekwisha, inatakiwa kwanza asubirie humo humo garini akitumia mbinu za kidereva kumshawishi abiria nae ashuke kwa raha zake (ukitilia maanani machovu yaliyotokana na uhondo wa safari)
 
hii ipelekwe jukwaa la teknolojia...yaani mnafungua draiving skuli MMu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…