Dereva matatu awakimbia Polisi na kuingia Kanisa Katoliki, Polisi washindwa kumtambua waamua kujiondokea

Dereva matatu awakimbia Polisi na kuingia Kanisa Katoliki, Polisi washindwa kumtambua waamua kujiondokea

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani.

Polisi nao wakaingia Kanisani wakati Ibada ikiendelea na walipojaribu kuwauliza Waumini hawakupewa ushirikiano wowote.

Hata alipokuja Mkuu wa kituo Waumini walimuomba awaache waendelee na Ibada yao na huyo Mtu aliyeingia humo ameshapata Ukombozi na hawatamtaja kamwe.

Polisi waliamua kuondoka na kusema Mtu huyo amesamehewa Mbinguni na duniani.

Nawaza tu tukio hili lingetokea Tanzania kwa jinsi tulivyo CHAWA lazima wangemtaja sema Wakikuyu wanajitambua 😄

Credit: Citizen TV
 
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani

Polisi nao wakaingia Kanisani wakati Ibada ikiendelea na walipojaribu kuwauliza Waumini hawakupewa ushirikiano wowote

Hata alipokuja Mkuu wa kituo Waumini walimuomba awaache waendelee na Ibada yao na huyo Mtu aliyeingia humo ameshapata Ukombozi na hawatamtaja kamwe

Polisi waliamua kuondoka na kusema Mtu huyo amesamehewa Mbinguni na duniani

Nawaza tu tukio hili lingetokea Tanzania kwa jinsi tulivyo CHAWA lazima wangemtaja sema Wakikuyu wanajitambua 😄

Credit Citizen TV
😀😀
 
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani

Polisi nao wakaingia Kanisani wakati Ibada ikiendelea na walipojaribu kuwauliza Waumini hawakupewa ushirikiano wowote

Hata alipokuja Mkuu wa kituo Waumini walimuomba awaache waendelee na Ibada yao na huyo Mtu aliyeingia humo ameshapata Ukombozi na hawatamtaja kamwe

Polisi waliamua kuondoka na kusema Mtu huyo amesamehewa Mbinguni na duniani

Nawaza tu tukio hili lingetokea Tanzania kwa jinsi tulivyo CHAWA lazima wangemtaja sema Wakikuyu wanajitambua 😄

Credit Citizen TV
CCM inadumaza fikra za Watanzania
 
Kwamba kumficha mhalifu ni sifa na ishara ya kujitambua??

Inaoenesha Kenya swala la ulinzi shirikishi liko chini sana, si ajabu matukio ya uvamizi, wizi, unyang'anyi ni mengi sana.

Jukumu la mwaanchi wa kawaida ni pamoja na kuibua maovu yanayotendeka ndani ya jamii inayomzunguka na kuyawasilisha mamlaka zinazohusika na ulinzi!

Jamii unapaswa kuishi kwa amani bila kuwepo matukio ya kihalifu.
 
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani.

Polisi nao wakaingia Kanisani wakati Ibada ikiendelea na walipojaribu kuwauliza Waumini hawakupewa ushirikiano wowote.

Hata alipokuja Mkuu wa kituo Waumini walimuomba awaache waendelee na Ibada yao na huyo Mtu aliyeingia humo ameshapata Ukombozi na hawatamtaja kamwe.

Polisi waliamua kuondoka na kusema Mtu huyo amesamehewa Mbinguni na duniani.

Nawaza tu tukio hili lingetokea Tanzania kwa jinsi tulivyo CHAWA lazima wangemtaja sema Wakikuyu wanajitambua 😄

Credit: Citizen TV
Mwamba alitisha sana kwa kweli.
 
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani.

Polisi nao wakaingia Kanisani wakati Ibada ikiendelea na walipojaribu kuwauliza Waumini hawakupewa ushirikiano wowote.

Hata alipokuja Mkuu wa kituo Waumini walimuomba awaache waendelee na Ibada yao na huyo Mtu aliyeingia humo ameshapata Ukombozi na hawatamtaja kamwe.

Polisi waliamua kuondoka na kusema Mtu huyo amesamehewa Mbinguni na duniani.

Nawaza tu tukio hili lingetokea Tanzania kwa jinsi tulivyo CHAWA lazima wangemtaja sema Wakikuyu wanajitambua 😄

Credit: Citizen TV

Polisi wetu wala wasinge ingia kanisani. Maana wana imani sana.
😂
 
Dereva Daladala alikaidi Amri ya Polisi ya kumtaka asimame na badala yake akakimbilia Kanisa Moja Takatifu la Mitume na kushuka garini huku akiwaacha abiria na kuingia Kanisani.

Polisi nao wakaingia Kanisani wakati Ibada ikiendelea na walipojaribu kuwauliza Waumini hawakupewa ushirikiano wowote.

Hata alipokuja Mkuu wa kituo Waumini walimuomba awaache waendelee na Ibada yao na huyo Mtu aliyeingia humo ameshapata Ukombozi na hawatamtaja kamwe.

Polisi waliamua kuondoka na kusema Mtu huyo amesamehewa Mbinguni na duniani.

Nawaza tu tukio hili lingetokea Tanzania kwa jinsi tulivyo CHAWA lazima wangemtaja sema Wakikuyu wanajitambua 😄

Credit: Citizen TV
Angeingia masjidi sijui ingekuaje? Maana wavaa kobazi hawana dogo.
 
Back
Top Bottom