Dereva ninahitaji Bajaji Mkataba

Dereva ninahitaji Bajaji Mkataba

Kindeena

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
11,462
Reaction score
21,124
Habari. Mimi ni dereva wa bajaji. Nina leseni ya udereva

Nipo Dar es Salaam.
Ninahitaji Bajaji ya mkataba. Kwa mwenye bajaji tuwasiliane kwa ajili ya maelewano.

Asanteni!
 
Habari. Mimi ni dereva wa bajaji. Nina leseni ya udereva

Nipo Dar es Salaam.
Ninahitaji Bajaji ya mkataba. Kwa mwenye bajaji tuwasiliane kwa ajili ya maelewano.
 
Back
Top Bottom