Akizungumza na kituo cha Clouds FM, Kamanda wa Polisi wa kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Ramadhani Ng'azi amesema wameanza uchunguzi kubaini sababu za dereva wa basi la Simba SC kuendesha basi hilo reverse (Kinyumenyume) wakati akielekea katika dimba la Mkapa kwenye mchezo wa klabu Bingwa Africa, Simba 0-3 Raja Jumamosi Feb 18/2023.
Kamanda huyo amesema iwapo itabainika alifanya hivyo kwa makusudi atapelekwa Mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.
=================
Baada ya kusambaa kwa video mitandaoni ikionesha basi likiendeshwa kwa staili ya kurudi nyuma, Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Ramadhani Ng'anzi amesema wanafanya uchunguzi wa tukio hilo kwa kuwa ni kinyume cha sheria
Amesema “Dereva anayeendesha kwa kurudi kinyumenyume umbali mrefu bila dharura yoyote na kwa nia ya kuwabughudhi watumiaji wengine anakiuka sheria za barabarani na anaweza kushtakiwa Mahakamani.”
Ameongeza kuwa “Tunafanya uchunguzi kwa kuwa unaweza kusema ni la Simba kumbe siyo lao ni la mtu mwingine, hivyo hatujamshikilia mtu yeyote kuhusu taarifa hizo.”
To the board of Simba, tafadhali toeni statement ya Bus kuendeshwa reverse kwenda stadium. Kama ni kweli board ina msimamo gani na hatua gani mnachukua. Football is science siyo uchawi. Simba mnakuwa associated kila mara na ushirikina. The board should and is responsible for what happened. The board should resign.
Jambo hili liko wazi. Siku zote gari linaendeshwa kuelekea mbele! Na siyo kwa kurudi nyuma. Unarudi nyuma pale unapotaka kugeuka, au kama kuna sababu ya msingi.
Ahojiwe tu kwa kweli. Na kama alitumwa kufanya hivyo na watu wasiozijua sheria za usalama barabarani kwa sababu zao binafsi, pia atueleze
Klabu zingine kuzishabikia ni laana na zinaweza kukufanya uchelewe kufika Kanani nchi ya asali na maziwa [emoji28]
Tabia ni ngozi (haijifichi) pamoja na faini zote za CAF kwa kuwasha moto uwanjani kule South Africa kwa Keizer Chiefs na TFF kumwadhibu Mchezaji wenu aliyekutwa akiwanga uwanjani lakini bado tu hamkomi kuendekeza ushirikina? eeeh...[emoji125]
Akizungumza na kituo cha Clouds FM, Kamanda wa Polisi wa kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Ramadhani Ng'azi amesema wameanza uchunguzi kubaini sababu za dereva wa basi la Simba SC kuendesha basi hilo reverse (Kinyumenyume) wakati akielekea katika dimba la Mkapa kwenye mchezo wa klabu Bingwa Africa, Simba 0-3 Raja Jumamosi Feb 18/2023.
Kamanda huyo amesema iwapo itabainika alifanya hivyo kwa makusudi atapelekwa Mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.
=================
Baada ya kusambaa kwa video mitandaoni ikionesha basi likiendeshwa kwa staili ya kurudi nyuma, Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Ramadhani Ng'anzi amesema wanafanya uchunguzi wa tukio hilo kwa kuwa ni kinyume cha sheria
Amesema “Dereva anayeendesha kwa kurudi kinyumenyume umbali mrefu bila dharura yoyote na kwa nia ya kuwabughudhi watumiaji wengine anakiuka sheria za barabarani na anaweza kushtakiwa Mahakamani.”
Ameongeza kuwa “Tunafanya uchunguzi kwa kuwa unaweza kusema ni la Simba kumbe siyo lao ni la mtu mwingine, hivyo hatujamshikilia mtu yeyote kuhusu taarifa hizo.”
Hawa Makolo kila siku wanaridhalilisha taifa! Afrika kusini waliwasha moto uwanjani, pale Mbeya walimtuma Gadiel kuwanga mchana kweupee na jana ndio hivyo gari imeenda kinyume nyume mpaka Temeke!
Klabu zingine kuzishabikia ni laana na zinaweza kukufanya uchelewe kufika Kanani nchi ya asali na maziwa [emoji28]
Tabia ni ngozi (haijifichi) pamoja na faini zote za CAF kwa kuwasha moto uwanjani kule South Africa kwa Keizer Chiefs na TFF kumwadhibu Mchezaji wenu aliyekutwa akiwanga uwanjani lakini bado tu hamkomi kuendekeza ushirikina? eeeh...[emoji125]
ALHAJ Rage wasimbanie, wamjengee tu mnara wake.
Hivi hawajui kua mganga hakubali kushindwa?. Jambo likimshinda hakwambii kuwa hili siliwezi. Atakupa masharti magumu ili ushindwe akijua kabisa kuwa mwenye akili timamu hawezi kulifanya hili au hana uwezo nalo.
Lakini masikini SeMBe wameingia KINGI.
Umfunge RAJA kwa kuingia uwanjani kinyume nyume?
Na bado iko siku wataambiwa wachezaji wote na benchi la ufundi waingie uwanjani wakiwa peku na huku wamevaa vichupi tu na watakubali.