Huyu alitakiwa alivyokimbia pale aende kujisalimisha kituo cha polisi. Na angesema alikimbia ili asiuawe na wananchi wenye hasira kali.
Kwa kufanya hivyo angekuwa walau na urafiki na jeshi la polisi maana asingewasumbua.
Sasa yeye kakimbia anasababisha polisi kutumia resources zao kumsaka, maana yake hapo ashakuwa adui wa polisi na ndugu wa hao watu aliowagonga.
Kazi anayo