Dereva wa Mashua/Vivuko Daraja la II Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

Jamii Opportunities

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
4,876
Reaction score
1,549
POST: DEREVA WA MASHUA/VIVUKO DARAJA LA II – 1 POST
POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS
EMPLOYER: Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe
APPLICATION TIMELINE: 2021-05-07 2021-05-19
JOB SUMMARY NA

DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  • Kufunga na kufungua kamba za mashua/kivuko
  • Kuchunga usalama wa abiria na magari yaliyomo ndani ya mashua/vivuko
  • Kupanga abiria au magari kwenye mashua/vivuko
  • Kuendesha na kuongoza mashua/vivuko
  • Kutunza daftari za safari ya mashua/vivuko
  • Kuhakikisha kwamba injini za vivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi; na
  • Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE: Kuajiriwa Waliohitimu Mtihani wa Kidato cha Nne, wenye ujunzi wa kuendesha na kutunza mashua/vivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es salaam Marine Institute au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili; na waliofuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye mashua/vivuko.

REMUNERATION TGOS A.

The deadline for submitting the application is 19 May 2021

CLICK HERE TO APPLY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…