Dereva wa serikali usithubutu kumpa gari boss wako aendeshe

Dereva wa serikali usithubutu kumpa gari boss wako aendeshe

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kuna ile inatokea dereva kazoeana na Afisa kama unavojua siku hizi wafanyakazi ni vijana unakuta dereva na boss wote ni washikaji wanakunywa pamoja sasa inatokea dereva labda kachoka au kalewa au kampa demu lift anaamua kumuachia boss aendeshe ili yeye Akakae nyuma adozi aisee ile ni hatari sana kumbuka boss hajazoea safari Ndefu usiku kuna mambo mengi kuna kupigwa full light na magari makubwa kuna kukwepa mashimo na kisha Kupoteza control kuna mambo mengi sana ya kusababisha ajali kama huna uzoefu.

Msala utabaki kwa dereva kama akipona ofisi itamuhoji kwanini alimpa mtu asiyehusika dereva utaulizwa kwanini tusikufukuze kazi?
 
Siyo kila sehemu mnaenda na Bo's wako mpe gari aendeee kwenye ishu zake za private

Mpe gari boss atembee nalo akale vitu vyake vya sirini atarudi tu

Hat festo. Ndugage alipo pata ajali aalikuwa anaendesha mweyewe
 
Siyo kila sehemu mnaenda na Bo's wako mpe gari aendeee kwenye ishu zake za private

Mpe gari boss atembee nalo akale vitu vyake vya sirini atarudi tu

Hat festo. Ndugage alipo pata ajali aalikuwa anaendesha mweyewe
Ila omba ajali isitokee aliyesaini gari ni wewe na sio boss
 
Inategemea kama anakibali cha kuendesha kutoka kwa TO msignishe kitabu cha movement
 
Kuna ile inatokea dereva kazoeana na Afisa kama unavojua siku hizi wafanyakazi ni vijana unakuta dereva na boss wote ni washikaji wanakunywa pamoja sasa inatokea dereva labda kachoka au kalewa au kampa demu lift anaamua kumuachia boss aendeshe ili yeye Akakae nyuma adozi aisee ile ni hatari sana kumbuka boss hajazoea safari Ndefu usiku kuna mambo mengi kuna kupigwa full light na magari makubwa kuna kukwepa mashimo na kisha Kupoteza control kuna mambo mengi sana ya kusababisha ajali kama huna uzoefu.

Msala utabaki kwa dereva kama akipona ofisi itamuhoji kwanini alimpa mtu asiyehusika dereva utaulizwa kwanini tusikufukuze kazi?
actually ni kosa kisheria..
 
Back
Top Bottom