Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
150000shHesabu bei gani kwa wiki?
Kuna mdau anatafuta dereva wa uber, angalia uzi wake hapa jamviniMimi ni dereva wa uber natafu gari ya kazi iwe hesabu au mkataba pia nina account ya uber na leseni namba yangu ni 0764254637
Je naweza kuunganishwa nae boss naomba msaada wako ndugu namba zangu hizo hapo 0764254637Kuna mdau anatafuta dereva wa uber, angalia uzi wake hapa jamvini
Kuna member mwenzetu humu alipost uzi wake jana, alihitaji dereva wa uber ndio maana nikakushtua ufatilie uzi huo. Nikiuona nitakujulisha.Je naweza kuunganishwa nae boss naomba msaada wako ndugu namba zangu hizo hapo 0764254637
Nikodishie acc hyo boss nikulipe kwa wiki mpka utakapopata garHabari zenu ndugu zangu, mimi ni dereva wa uber, natafuta gari ya kazi kwa ajiri ya uber nina account ya uber na leseni pia class c1,c2,c3D,E, namba zangu za simu ni 0679297897,0764254637
PNikodishie acc hyo boss nikulipe kwa wiki mpka utakapopata gar
Mimi ni dereva wa uber natafuta gari ya kazi ya uber kwa hesaba au mkataba ninauzoefu mkubwa na kazi hiyo nina cheti cha NIT (VIP) na leseni yangu class "C" namba yangu ya sm ni 0655058702 jina langu Edwin Joseph Nditi.