Jumanneugama
New Member
- Feb 28, 2021
- 1
- 2
Duh hivi unajua mziki wa kuipata 250 kwa week na uber au unaropoka tu?Kama unatafuta ajira na upo teyari kulinda....ebu njoo gardaword....ila hakikisha wewe ni mrefu...uwe na cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha nida...bila kusahau TIN...Ofisi zipo mikocheni kwa mwinyi mshahala kimo cha chini ni 250k
we ndio unaropo...**ka mzee haujaelewa mwenzako anasema nn unadakia dakia tu mzee, mwenzako haongelei uber kuleta 250,000 kwa wiki ila kamwambia aende gardaword anaweza pata kazi ya ulinzi mashara kima cha chini ni 250,000Duh hivi unajua mziki wa kuipata 250 kwa week na uber au unaropoka tu?
ivi umesoma nilichokiandika na kukielewa kweli...?Duh hivi unajua mziki wa kuipata 250 kwa week na uber au unaropoka tu?