Dereva wangu kagonga kaua kakimbia, sheria inasemaje?

Dereva wangu kagonga kaua kakimbia, sheria inasemaje?

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Wakuu, kuna dereva wangu amegonga mtu kaua mmoja na kujeruhi mmoja, sasa huyu dereva kasepa na kunachia msala, nilipoenda polisi askari alinambia nipeleke leseni ya dereva nisipopeleka watanipeleka Mimi mahakaman, nimefanya mchakato nikapeleka copy ya leseni ya dereva pamoja na vitu vingine walivyotaka, lakin bado wananiuliza dereva na bado wanasema asipopatikana napelekwa mie, na mimi sijui dereva ntamtoa wapi. Je sheria inasemaje kuhusu hilo?

Na je ni kweli bima kufanya kazi kwa waathiriwa ni mpaka dereva apatikane na ahukumiwe?
 
Wakuu, kuna dereva wangu amegonga mtu kaua mmoja na kujeruhi mmoja, sasa huyu dereva kasepa na kunachia msala, nilipoenda polisi askari alinambia nipeleke leseni ya dereva nisipopeleka watanipeleka Mimi mahakaman, nimefanya mchakato nikapeleka copy ya leseni ya dereva pamoja na vitu vingine walivyotaka, lakin bado wananiuliza dereva na bado wanasema asipopatikana napelekwa mie, na mimi sijui dereva ntamtoa wapi. Je sheria inasemaje kuhusu hilo?
Jela inakuhusu, inamaana wewe ulajili mtu usiyemfahamu?
 
Wakuu, kuna dereva wangu amegonga mtu kaua mmoja na kujeruhi mmoja, sasa huyu dereva kasepa na kunachia msala, nilipoenda polisi askari alinambia nipeleke leseni ya dereva nisipopeleka watanipeleka Mimi mahakaman, nimefanya mchakato nikapeleka copy ya leseni ya dereva pamoja na vitu vingine walivyotaka, lakin bado wananiuliza dereva na bado wanasema asipopatikana napelekwa mie, na mimi sijui dereva ntamtoa wapi. Je sheria inasemaje kuhusu hilo?
Mwenye kosa hapo ni dereva na gari hakuna sheria inayosema mtu akitenda kosa wanaweza kumchukua mwingine kama mbadala kikubwa thibitisha tu polisi kwamba unamfaham mpk kwake na amekimbia baada ya hapo fight utoe gari yako maisha yaendelee sometimes shit happen
 
Dereva anapofanya uzembe barabarani lazima awajibike personally na si vinginevyo.
 
Hauna kesi hapo Inspector atakagua gari kama kila kitu kitakuwa sawasawa unarudishiwa gari yako msala unabaki kwa aliyekula kiba shaka ondoa mkuu.
 
Una mkataba wa kazi ya huyo dreva au mmepeana kazi kishikaji tu.
 
Una mkataba wa kazi ya huyo dreva au mmepeana kazi kishikaji tu.
Mkuu kwan sheria inabagua kati ya dereva anayeendesha gari aliyoajiriwa kuiendesha vs dereva anayeendesha tu gari sio lake mfano kaazima, vipi baina ya watu hao wawili wakifanya kama dereva wangu je sheria inabagua?
 
Mkuu kwan sheria inabagua kati ya dereva anayeendesha gari aliyoajiriwa kuiendesha vs dereva anayeendesha tu gari sio lake mfano kaazima, vipi baina ya watu hao wawili wakifanya kama dereva wangu je sheria inabagua?
Sheria haibagui ila inaapply kulingana na mazingira. Dereva aliyeajiriwa akipata ajali wakati anatekeleza majukumu yake basi kuna uwezekano mwajiri wake akawajibika ktk sheria za madhara (tort). Kwa upande wa jinai au traffic case atawajibika dereva mwenyewe.
Kwa mtu ambaye kaazima tu chombo cha moto atawajibika mwenyewe na sio mwenye chombo.
 
Back
Top Bottom