Dereva wangu!

DA, lazima ufike mwisho wa safari, hiyo kesho yake majukumu mengine!

Ha ha ha Elia bana una mambo kweli mie safari ndefu siwezi labda awe dereva anaekwenda speed 180/hr naweza kujaribu lakini 80/hr mmmhh naishia arusha kama sio korogwe
 
Ha ha ha Elia bana una mambo kweli mie safari ndefu siwezi labda awe dereva anaekwenda speed 180/hr naweza kujaribu lakini 80/hr mmmhh naishia arusha kama sio korogwe

Safari ndefu na 80/hr wapi na wapi? at least 120/hr
 
Mhh umemwelewa kweli mwenzio??? Katumia LUGHA YA KIKUBWA HUYU SI GARI KAMA GARI ULIJUALO NA DEREVA KAMA DEREVA UMJUAE: TAFSIDA HAPOO UDUMU

Asante Mkuu.
 
Mhh umemwelewa kweli mwenzio??? Katumia LUGHA YA KIKUBWA HUYU SI GARI KAMA GARI ULIJUALO NA DEREVA KAMA DEREVA UMJUAE: TAFSIDA HAPOO UDUMU

Umeona ehhh wakiambiwa uwe na miaka more than 18 wanadanganya tarehe za kuzaliwa unaona matokeo yake sasa
 
Ndugu kiongozi kunawa uko umekuelewa si kunawa mikono<ni kunawa mikono ya kiutu uzima si jui umenielewa?
 
ni msafi anapenda kuweka mazingira mazuri ya safari baada ya kituo kituo.yaan ajiweke soap soap. tatizo wewe unataka kuunganisha juu kwa juu yeye hapendi.
Nimekupata mkuu, ila vituo sio sawa kilasiku, siku ya kwanza nilikuwa na vituo vitano, siku ya pili vitatu. Na ni kweli huwa anakwenda kunawa
 
Kaaazi kweli kweli!!!Lock milango ili asiweze kushuka!!!

Unafikiri hilo ni suruhisho kweli Lizzy? Kumbuka hiyo ni gari ya kukodi, Dereva ndo owner kwa wakati huo.
 
Kamanda, hii ripoti nsipoimaliza utakuwa na kesi ya kujibu.

Nawahi Kingstaa!

Habarrrr ake GX100 bana.....unahitaji draiva?

hahaha! Habari yake uvunguni mwa 106! Dereva muhimu, ila sitaki anaye nawa nawa uso km wa Elia..lol
 
Huyo dereva ni wa kukodi halafu safari wataka muunganishe,napata picha kuwa abiria hauko makini kwa kuwa kama oil imevuja baada ya mwendo tyubu yake inabidi ibadilishwe!!!Haiwezi kuunganishwa safari!!!Inaonekana hiyo gari na dereva haiwekwi tyubu kuzuia oil kuingia ndani ya injini kitu ambacho ni hatari sana.Tumieni tyubu vinginevyo muende gereji kucheki_kama hamjacheki kuna hatari ya baadae gereji zote kushindwa kutatua tatizo labda ile ya arusha.yaani kwa yule makanika mzoefu sana wa magari makuu kuu!!!!
 
Hapa wengine tukipataga madereva wanaoweka OVADRAIVU halafu anapiga ova ze limiti, daa unaweza ukamkodi jumla jumla
 
Kwa nini usianze ku focus kwa wewe mwenyewe abiria badala ya dereva? inawezekena hiyo perfume unayatumia huwa inamkera ndio maana huwa akifika kituoni ni lazima atoke akanawe, au huwa unamlazimisha akimbie sana wakati unajua hilo ni gari la kukodi tu mwenye gari anataka liwe fiti wakati wote.
 
No comment mkuu hapa kamaliza kitu..nasisitiza fanya kama alivyokuagiza.
 
No comment...........mkuu hapa kamaliza kilakitu..........Nasisitiza heshimu ushauri wake maana hakuna dereva mzuri kama yule anaefuata sheria tehetehete!!!!
 
kwanza nilidhani dereva taxi nikahisi mchawi nini hahaha! baada ya kurudia kusoma nikaelewa,baada ya kila kituo kunawa ni vizuri tena kwa wote. hapa wale vijana wetu wa secondary wanaambulia vumbi tu lol! Nimekugongea thanks nimependa lugha yako Elia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…