Dereve wa trela iliyoteketezwa moto na waandamanaji asema alikuwa akisafirisha nyaya kwenda Uganda

Dereve wa trela iliyoteketezwa moto na waandamanaji asema alikuwa akisafirisha nyaya kwenda Uganda

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Jibril Abduba , ambaye ni dereva wa trela ameeleza Wanahabari kwamba waandamanaji waliomsimamisha barabarani Southern Bypass mapema leo walitaka chakula lakini akawaeleza ni nyaya tu alizokuwa akisafirisha kwenda Uganda.

Waandamanaji walimfurusha nje ya trela na kuliteketeza moto wakisema sio Mkenya. Hatahivyo juhudi zao za kutaka kuiba nyaya hazikufua dafu kwani Jeshi la Zimamoto liliwasili kwa haraka kudhibiti hali.

20230502_140457.jpg
 
Jibril Abduba , ambaye ni dereva wa trela ameeleza Wanahabari kwamba waandamanaji waliomsimamisha barabarani Southern Bypass mapema leo walitaka chakula lakini akawaeleza ni nyaya tu alizokuwa akisafirisha kwenda Uganda.

Waandamanaji walimfurusha nje ya trela na kuliteketeza moto wakisema sio Mkenya. Hatahivyo juhudi zao za kutaka kuiba nyaya hazikufua dafu kwani Jeshi la Zimamoto liliwasili kwa haraka kudhibiti hali.View attachment 2607182
Mwanamke na mwanaume wajinga wataivunja nchi yao kwa mikono yao wenyewe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Izi Nchi bana maandamano ukiangalia wanachoandamania ni ujinga mtupu...Madereva Sudan wanashushwa kwenye Gari na Kuchapwa bakora za kutosha tu sasa Tajiri gani mjinga atakaepeleka Gari zake huko Sudan au KE na DRC ambapo machafuko hayaishi??

TUMEROGWA
 
Jibril Abduba , ambaye ni dereva wa trela ameeleza Wanahabari kwamba waandamanaji waliomsimamisha barabarani Southern Bypass mapema leo walitaka chakula lakini akawaeleza ni nyaya tu alizokuwa akisafirisha kwenda Uganda.

Waandamanaji walimfurusha nje ya trela na kuliteketeza moto wakisema sio Mkenya. Hatahivyo juhudi zao za kutaka kuiba nyaya hazikufua dafu kwani Jeshi la Zimamoto liliwasili kwa haraka kudhibiti hali.

View attachment 2607182
Huo ni uwendawazimu.
 
Mwanamke na mwanaume wajinga wataivunja nchi yao kwa mikono yao wenyewe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wakunya tuliwaambia kuwa vurugu za uchagusi siyo lazima ziwe siku ya uchaguzi hawakutuelewa wao wakatukebei na kusema uchaguzi umepita salama[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tony254 huko pande gana za slum [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakenya hua ni watu wapumbavu, nashangaa tulikua tukidhani wana akili ngoja tuwapite kiuchumi ndio watatia adabu

Binafsi sikuwahi waona wakenya wana akili. Ni half minded dude.
Zamani, kwa upande wa Sooth Afrika, nilifikiri kila msauz ni Mandela, kumbe wengine ni akina Zuma 🤣 😂 😆
 
Wakenya hua ni watu wapumbavu, nashangaa tulikua tukidhani wana akili ngoja tuwapite kiuchumi ndio watatia adabu
Sijawahi kuwaona wakenya Wana akili hata siku Moja tangu nikiwa mtoto kwasababu niliwajua vizuri Sana, nilikua ninawashangaa Sana watanzania waliokua wakiwasifu wakenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Waandamanaji wanaomba chakula?wangewapa tu hizo nyanya watafune.
 
Jibril Abduba , ambaye ni dereva wa trela ameeleza Wanahabari kwamba waandamanaji waliomsimamisha barabarani Southern Bypass mapema leo walitaka chakula lakini akawaeleza ni nyaya tu alizokuwa akisafirisha kwenda Uganda.

Waandamanaji walimfurusha nje ya trela na kuliteketeza moto wakisema sio Mkenya. Hatahivyo juhudi zao za kutaka kuiba nyaya hazikufua dafu kwani Jeshi la Zimamoto liliwasili kwa haraka kudhibiti hali.

View attachment 2607182
Hili lori la kusafirisha mizigo linamilikiwa na kampuni gani?
 
Back
Top Bottom