Derimto..................Happy Birthday

Happy Birthday Derimto!!
Usiwe unapotea sana bwana, hadi nilitaka kukusahau jamani!!!
Au uwe unaaga basi, kama umeenda Loliondo.

Bado nakagua ninakoumwa best ndiyo nianze kwenda kupanga foleni ya kikombe ila nachangisha nauli kama vipi mchango wako unitumie kabisa ili nikishajua naumwa nini nianze safari ngoja nimuulie wangu wa moyoni MJ1 akikubali nimchukue tukapate kikombe
 
Bado nakagua ninakoumwa best ndiyo nianze kwenda kupanga foleni ya kikombe ila nachangisha nauli kama vipi mchango wako unitumie kabisa ili nikishajua naumwa nini nianze safari ngoja nimuulie wangu wa moyoni MJ1 akikubali nimchukue tukapate kikombe

Ah kumbe ulikuwa bado hujaniuliza Laaziz?? Mwenzio nshaanza kufungasha!! ...........Haya nimestopisha uniulize basi.
 
Kaka PJ nashukuru kwa hili box ngoja nitafute uchochoro nilifungue nijisevie kimtindo baada ya wageni kuondoka
......................Mh mwanaume wa kibantu ni wa kibantu tu...............yaani badala ya kusema ngoja nimtafute MJ1 tujifiche tufungue wote we unanbagua...................Nirudishie birthday yangu.
 
......................Mh mwanaume wa kibantu ni wa kibantu tu...............yaani badala ya kusema ngoja nimtafute MJ1 tujifiche tufungue wote we unanbagua...................Nirudishie birthday yangu.
:lol::lol::lol::lol:
 
Chauro,
Kumbe bni pacha wako huyu ndugu?
Sikujua...Mbona wakati wanavalishana pete ya uchumba na MJ1 juzi kati hukuwepo?
Au ulikuwa kijiji cha Samunge kupata hii maneno kwa picha?

!


...............Hii pete hadi imepata kutu. Najipa moyo
 
PJ huyu pacha tumeona jua pamoja,toka tutokee kwenye huu mwanga miaka kumi na mbili tu imepita

Chauro ............usiseme miaka mwenzio ntaambiwa napenda therengeti therengetiiiiiiiiiiiii.
 
Kinyota inasema utakuwa na matatizo ya kifedha kwahiyo ni bora ukaniona nikakupa PETE ya kusafisha matatizo yako.

PETE?? Mmmh zaidi ya sheikh Yahya ,ok ntakupm unipe utabiri zaidi hasa wa kiafya na kisiasa!
 
PETE?? Mmmh zaidi ya sheikh Yahya ,ok ntakupm unipe utabiri zaidi hasa wa kiafya na kisiasa!
Hata kabla haujani PM nimeishajua matatizo yako nilitee jogoo mtetea, mafuta, sabuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…