Describe and explain anything about HIm/HEr

Kwenye pesa yaani ni kama mkate kwa chai, maneno matupu hata huwa siyaelewi.
Kwa ule ujanja wako hauhitaji kurushiwa cash inakuhusu. Maana juzi nilikurushia ukafuta meseji ya mwamala.

Au shemeji ulijua ni arrears nin magu kawarushia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamna soma text yake ya nyuma kaniomba kitu nikamwambia anifuate pm. Shemeji mbona hatuaminiani lakn. Haya tu wewe
Mmmmmh!!
Shemeji naomba uniunge nami pm, kama kuna mtu najua alijisahau wakati anarusha mistari kwa binti nami akaniconnect kwenye hayo maongezi yao, basi nawachabo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…