Mzigua njoo tulaleWawili wachache bwana. Ongeza japo watano tu.
Kumbe..Basi kesho atakusimulia magoliNa Lipo huko ulikohamia...ukiongezea ni la kizigua
Goli ni goli..Hata liwe la nziYasiwe ya mikono tu.......
Nakuja ngoja nimalizie kumuandalie Daby nguo za kesho.Mzigua njoo tulale
Nimeona wasifu wako kuwa una roho nzuri. Kama hiyo picha ni wewe tafadhali niambie nikupende. Sasa hebu nielekeze jinsi ya kumenshen mtu. Kuna watu nataka kuwamenshen ukiwemo wewe.Hahaha... nimemwona bonny anakuja
Huku
Hapo ndo unapopigwa bao..We unamvalisha wenzako wanamvuaNakuja ngoja nimalizie kumuandalie Daby nguo za kesho.
Taja mtu kwa kuandika @(jina) usiache nafasi kati ya @ na jina. Ukimaliza anza kutiririka sifa.Nimeona wasifu wako kuwa una roho nzuri. Kama hiyo picha ni wewe tafadhali niambie nikupende. Sasa hebu nielekeze jinsi ya kumenshen mtu. Kuna watu nataka kuwamenshen ukiwemo wewe.
Mgawanyo wa majukumu tu. Ssa nitamvalisha na kumvua mimi kwa sheria zipi? Najua natakiwa kufanya vyote but not to that extent.Hapo ndo unapopigwa bao..We unamvalisha wenzako wanamvua
Huyu bora anyamaze..Hachelewi kusema nina kibamia
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo kwenye picha mbona hujanipa credit zangu??Taja mtu kwa kuandika @(jina) usiache nafasi kati ya @ na jina. Ukimaliza anza kutiririka sifa.
Naamini unajua kusifiwa maana ukinisifia vizuri na mimi nitakupenda tena zaidi yako.