Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Siku ya Bima Ya Afya Kwa Wote inalenga kuongeza uelewa kwa Jamii na Nchi kuhusu umuhimu wa kuwa na mifumo imara na endelevu ya afya na bima ya afya kwa wote kwa kushirikiana na washirika wa pande mbalimbali.
Pia inalenga kuhamasisha Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya
Leo Tanzania inaadhimisha siku hii ikiwa ni Wiki moja tangu Rais Samia kutia saini Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote (Desemba 5, 2023) inayotegemewa kuweka msingi imara kwa Wananchi wote kuwa na Bima ya Afya itakayowawezesha kupata huduma bora za Afya mahali popote nchini kwa gharama nafuu
Pia inalenga kuhamasisha Serikali kufanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya
Leo Tanzania inaadhimisha siku hii ikiwa ni Wiki moja tangu Rais Samia kutia saini Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote (Desemba 5, 2023) inayotegemewa kuweka msingi imara kwa Wananchi wote kuwa na Bima ya Afya itakayowawezesha kupata huduma bora za Afya mahali popote nchini kwa gharama nafuu