Unataka miti iote kwenye picha?Mbona nahisi kama ni rahisi kukumbwa na majanga ya asili kama mafuriko,kimbunga maana sioni hata miti ya maana
Nakumbuka ilikua ni kipindi kile wanyama wakati yuko totenham akaja bongo vyombo vya magharibi vikaripoti, " wanakijiji wakusanyika kwenye fukwe za kijiji kimoja kikubwa huko afrika mashariki wakijumuika na mchezaji wa spurs, wanyama "Hivi ni nani walikuja hapa Bongo wakasema Dar ni likijiji likubwa.
Waache ufala sasa masaki yao ipoje?
Ndiyo Ukweli WenyeweVijiji kama vya Chato hivyo.
Nasema uongo ndg zangu?