Desperation ya kupata first job ilivyomponza rafiki angu

Desperation ya kupata first job ilivyomponza rafiki angu

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Rafiki angu alihangaika kwa takriban miezi 6 tokea amalize chuo kupata kazi yake ya kwanza. Ila alijiharibia kitu kimoja na yote hii ni kwa sababu ya desperation ya kupata kazi yoyote ilimradi imuingizie kipato.

Jamaa aliitwa interview na international NGO moja hapa Bongo. Akaulizwa lile swali la "how much do you expect us to pay you?" Jamaa na elimu yake ya degree akajibu i expect not less than 600k Tshs. Alisema hela hiyo ndogo ilimradi awe favored tofaut na wengine.

Kwa bahati nzuri jamaa alipata kweli hiyo kazi ila mpunga alipewa huohuo 600k aliosema.

Sasa hivi jamaa analia shida tu kila siku, kazi anayo lakini haimkidhii mahitaji. Anajuta kwa nini alisema hela ndogo hiyvo wakati international NGOs zinalipaga vizuri sana.

Funzo: Desperation isitufanye tukajishusha thamani
 
Hapo unatakiwa uwaambia wakulipe tokana na skel level walioipanga kwa mtu mwenye uzoefu na vigezo kama ww

Maana huwa wanakuwaga washapanga rate za kulipa sasa ukitaja amount unaweza kuwa juu ya rate yao au chini.

We waambie wakulipe kwa rate walioipanga
Hili swali ukiulizwa jibu hivi:- ikiwa mmetangaza kazi basi na minimum and maximum salary mshapanga. Nilipe kwa mujibu wa position nilioiomba.
Ishu sio rate waliopanga wao, ishu ni kwamba hilo swali limekaa kujua kama unajua thamani yako kama utapata hiyo kazi.
Ulichosema ni sahihi lkn ni lazima utaje kiasi unachotaka ila tatizo linakuja ukitaja kiasi kidogo/kikubwa zaidi.
 
Majibu ya swali hilo tafadhar

Mimi nimeishia darasa la saba. Malipo au mshahara mtu hupata pale anatimiza kazi au jukumu fulani. Basi hivyo hivyo wewe sasa unatamani kutimiza majukumu yao katika kampuni iyo. Mshahara wako wataupima kwa kile unachokifanyia kazi na unachozalisha kwa kampuni.
 
Rafiki angu alihangaika kwa takriban miezi 6 tokea amalize chuo kupata kazi yake ya kwanza. Ila alijiharibia kitu kimoja na yote hii ni kwa sababu ya desperation ya kupata kazi yoyote ilimradi imuingizie kipato.

Jamaa aliitwa interview na international NGO moja hapa Bongo. Akaulizwa lile swali la "how much do you expect us to pay you?" Jamaa na elimu yake ya degree akajibu i expect not less than 600k Tshs. Alisema hela hiyo ndogo ilimradi awe favored tofaut na wengine.

Kwa bahati nzuri jamaa alipata kweli hiyo kazi ila mpunga alipewa huohuo 600k aliosema.

Sasa hivi jamaa analia shida tu kila siku, kazi anayo lakini haimkidhii mahitaji. Anajuta kwa nini alisema hela ndogo hiyvo wakati international NGOs zinalipaga vizuri sana.

Funzo: Desperation isitufanye tukajishusha thamani
Huu mtihani ulinikuta na mm though haikuwa first appointment nilichemsha kama jamaa, those days kwa kazi yangu government walikuwa wana pay 50000/= basic salary kwa mwezi, , nikapata international NGO wakaniuliza the same swali nikachukua huo mishahara nilikuwa napata nikazidisha X4 nikawajibu 200,000/= anyway walicheka sana nikaajiriwa nilipoangalia contract nikakuta starting salary ni 450,000/=
 
Rafiki angu alihangaika kwa takriban miezi 6 tokea amalize chuo kupata kazi yake ya kwanza. Ila alijiharibia kitu kimoja na yote hii ni kwa sababu ya desperation ya kupata kazi yoyote ilimradi imuingizie kipato.

Jamaa aliitwa interview na international NGO moja hapa Bongo. Akaulizwa lile swali la "how much do you expect us to pay you?" Jamaa na elimu yake ya degree akajibu i expect not less than 600k Tshs. Alisema hela hiyo ndogo ilimradi awe favored tofaut na wengine.

Kwa bahati nzuri jamaa alipata kweli hiyo kazi ila mpunga alipewa huohuo 600k aliosema.

Sasa hivi jamaa analia shida tu kila siku, kazi anayo lakini haimkidhii mahitaji. Anajuta kwa nini alisema hela ndogo hiyvo wakati international NGOs zinalipaga vizuri sana.

Funzo: Desperation isitufanye tukajishusha thamani
Kwani kwenye job offer hawakutaja mshahara?
 
Rafiki angu alihangaika kwa takriban miezi 6 tokea amalize chuo kupata kazi yake ya kwanza. Ila alijiharibia kitu kimoja na yote hii ni kwa sababu ya desperation ya kupata kazi yoyote ilimradi imuingizie kipato.

Jamaa aliitwa interview na international NGO moja hapa Bongo. Akaulizwa lile swali la "how much do you expect us to pay you?" Jamaa na elimu yake ya degree akajibu i expect not less than 600k Tshs. Alisema hela hiyo ndogo ilimradi awe favored tofaut na wengine.

Kwa bahati nzuri jamaa alipata kweli hiyo kazi ila mpunga alipewa huohuo 600k aliosema.

Sasa hivi jamaa analia shida tu kila siku, kazi anayo lakini haimkidhii mahitaji. Anajuta kwa nini alisema hela ndogo hiyvo wakati international NGOs zinalipaga vizuri sana.

Funzo: Desperation isitufanye tukajishusha thamani
Tunaishi tukijifunza.
 
Mimi nimeishia darasa la saba. Malipo au mshahara mtu hupata pale anatimiza kazi au jukumu fulani. Basi hivyo hivyo wewe sasa unatamani kutimiza majukumu yao katika kampuni iyo. Mshahara wako wataupima kwa kile unachokifanyia kazi na unachozalisha kwa kampuni.
NGO na kampuni vitu viwili tofauti. Anyway umesema la Saba.
 
Back
Top Bottom