Nimemshangaa leo alichokisema. Mpuuzi mkubwa kabisa huyu kibarakaNdio unajua leo?
Ofisini Kwake unakujua?Nimemshangaa leo alichokisema. Mpuuzi mkubwa kabisa huyu kibaraka
hapana, nipe in summary...puppet si wanajengewa na CCMOfisini Kwake unakujua?
Bwaaheh bana [emoji1]Ndio unajua leo?
Pole sana mkuu kumbe ulikuwa bado hujagundua kuwa yupo kwenye payroll ya lumumba ?1. Ukiona mtu amepewa airtime na TBC, ujue katumwa na CCM/serikali. Leo namuona anaongea TBC eti miswada isiondolewe bungeni, maana ikiodolewa haitarudi tena.
2. Kwa hiyo anamaanisha kuwa twende kwenye uchaguzi na sheria mbovu yatokee yale yale ya 2020 chini ya magufuli! Huyu ana akili kweli?
3. Huyu ni mpuuzi sana being driven by tumbo lake na familia yake!
Yule hana tofauti na ZzkNami nilimsikia juzi taarifa ya Habari ITV ,2 usiku,eti mapendekezo yote ambayo yapo against na Katiba,hayatopokelewa..kana kwambq Katiba ni MSAAFU/ BIBLE..
Aache watu wachangie,kama maoni yana TIJA na yanahitaji kumabadiliko madogo ya Katiba,bac yafanyike..
Sijui wamemlipa KIASI gani?
Ndiyo nimejua kwa aliyokuwa anayasema TBC1, stupid kabisa huyu mtuPole sana mkuu kumbe ulikuwa bado hujagundua kuwa yupo kwenye payroll ya lumumba ?
Walishamteka tayari ule u smart wake kwishaaaahapana, nipe in summary...puppet si wanajengewa na CCM
Hao ndiyo vibaraka wa ccmNimemshangaa leo alichokisema. Mpuuzi mkubwa kabisa huyu kibaraka
Mbona alishadharauliwa kitambo sana huyu !1. Ukiona mtu amepewa airtime na TBC, ujue katumwa na CCM/serikali. Leo namuona anaongea TBC eti miswada isiondolewe bungeni, maana ikiodolewa haitarudi tena.
2. Kwa hiyo anamaanisha kuwa twende kwenye uchaguzi na sheria mbovu yatokee yale yale ya 2020 chini ya magufuli! Huyu ana akili kweli?
3. Huyu ni mpuuzi sana being driven by tumbo lake na familia yake!
sitaki hata kuamini hili aiseWalishamteka tayari ule u smart wake kwishaaaa
I'd like to differ,1. Ukiona mtu amepewa airtime na TBC, ujue katumwa na CCM/serikali. Leo namuona anaongea TBC eti miswada isiondolewe bungeni, maana ikiodolewa haitarudi tena.
2. Kwa hiyo anamaanisha kuwa twende kwenye uchaguzi na sheria mbovu yatokee yale yale ya 2020 chini ya magufuli! Huyu ana akili kweli?
3. Huyu ni mpuuzi sana being driven by tumbo lake na familia yake!
...and it is your right!I'd like to differ,
Ogopa sana mtu anaye ongeaongea sana,mara nyingi ni wanafiki!1. Ukiona mtu amepewa airtime na TBC, ujue katumwa na CCM/serikali. Leo namuona anaongea TBC eti miswada isiondolewe bungeni, maana ikiodolewa haitarudi tena.
2. Kwa hiyo anamaanisha kuwa twende kwenye uchaguzi na sheria mbovu yatokee yale yale ya 2020 chini ya magufuli! Huyu ana akili kweli?
3. Huyu ni mpuuzi sana being driven by tumbo lake na familia yake!