Uko sahihi Masai haziki hutupa tu porini sasa anaandika kitu hata asichojua kuhusu hilo kabila huko ngorongoroTuna waandishi wa Habari wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri nchi hii, ndio maana wengi wamebaki kuwa wapiga kelele na wafanya comedy kwenye vipindi.
Yaani hapo ndo UJINGA wa Balile ulipolala.Kungekua na makaburi wasingeondolewa au mm ndio sielewi 🤷
Hebu fikiria halafu tukisema waandishi wengi wa habari mabwege wanabisha halafu utaisikia wanaitana mwaadishi nguli Balile!!!!!Hawa nao waondolewe tuu maana hawana makaburi.?
Kabisa waandishi hawajui hiloHuo ni utamaduni wa maasai hata kabla Tanzania haijapata uhuru
Tuna waandishi wa habari wa hovyohovyo sana nchini mwetu...mtu kma balile,kitenge,msiba ni watu wenye upungufu wa akili wanamiliki vyeti ya DSJ chuo cha mtaani,unategemea waandike habari yenye manufaa,kitenge ni mjivuni mpka akienda kujisaidia anapiga pichaBaada ya Maulid Kitenge kufanya tour na timu yake Ngorongoro watu walijitokeza nakusema alivyolipwa na kwamba ana tekeleza matakwa ya watu flani na siyo utashi wake.
Siku chache Balile kawaitisha vyombo vya habari na wanahabari kuwashawishi au kupiga kampeni kuwaondoa Wamasai Ngorongoro. Nilichochukizwa na huyu mtu ni pale alipomhusisha Mungu kwenye uongo.
Anaeleza kwamba Ngorongoro hakuna Makuburi Kwa maana Hiyo Masai akiugua wanamwacha Ndani wanafungua milango ya maboma Kisha wanafungia kondoo nje Ili fisi au mnyama mkali akija kula MBUZI ale na mgonjwa Kisha wao wanakimbia.
Naomba kumuuliza, anajua maboma ya kimasai yanafungwa na Nini? Anajua kwamba uhitaji kufunga MBUZI mlangoni Kwa sababu MBUZI na binadamu wanaishi pamoja? Anajua Ngorongoro maboma hayana hata Hiyo milango? Anaelewa kwamba suala la kuzika kwenye makaburi limeanza hivi karibuni na kwamba Wajaluo wakizika walikuwa wanapitisha mifugo kuondo kabisa kaburi Kisha wanapanda miti?
Anaelewa kwamba miaka ya zamani Kagera waliishi bila makaburi, anaelewa kwamba wapo watu wanachomwa na kwa msingi wa tamaduni zao uwezi kukuta makaburi? Anaelewa kwamba huko Longido wapo wazee wa Mila wamezikwa hata miaka ya karibuni na viongozi wa kisiasa walishiriki mazishi? Anaelewa kwamba Kila kabila Lina tamaduni zao? Amewahi kujiuliza Hadzabe wanazika VIPI? Amewahi kujiuliza wasukuma porini wanafanyaje wakipata msiba?
Huyu mtu anaishi Dar es Salaam akisubiri alipwe pesa ya safari anajulia wapi Mila na desturi za makabila mengine? Lakini anapotumia vyombo vya habari kuvictimize kabila flani Kwa sababu tu awapendi au hakuna Ndugu zake huko analiweka wapi Taifa? Kwamba alikozaliwa kuna maskini na watoto wengi awaendi shule na anaficha AIBU ya familia yake na ukoo then anaanza kutumia vyombo vya habari kudhalilisha makabila mengine, haya NDIYO aliyofundishwa?Kama ana uchungu yeye na hao waandishi wenzake kwanini wasiandike changamoto za elimi za watoto waliopo vijijini kwao?
Tunapotumia vyombo vya habari kupenyeza agenda let us be neutral. Hatuwezi kutumia vyombo vya habari kudhalilisha Masai Kwa sababu tu awajui kusoma na kuandika na sisi tumesoma. Hatuwezi kudhalilisha maginalized group kwa sababu tu tumejaliwa Kuishi maisha Mazuri na madaraka tunayo. Since 1956 Serikali haikuona hao Wamasai wanaliwa na wanyama waje waone akina Balile Leo? Miaka yote hakuna clip ya hiki anachokisema ,Hana evidence ya MBUZI aliyefungwa kwenye boma kuvutia fisi waje kumla binadamu anapata wapi ñguvu yakuwaambia wanahabari mambo ya hovyo hivi?
Nani anawalipa Hawa watu? Kwa malengo Gani? Tunakumbuka utoroshaji wa twiga? Mambo yalianza hivihivi , tuwe makini na bahasha za matajiri na tukizipokea tusimomonyoe nchi, tule tuiache nchi ikiwa salama. Serikali inaweza kabisa kuwaondoa Masai bila propaganda wala kuwadhalilisha.
Anatakiwa akamatwe kwa uchocheziBaada ya Maulid Kitenge kufanya tour na timu yake Ngorongoro watu walijitokeza nakusema alivyolipwa na kwamba ana tekeleza matakwa ya watu flani na siyo utashi wake.
Siku chache Balile kawaitisha vyombo vya habari na wanahabari kuwashawishi au kupiga kampeni kuwaondoa Wamasai Ngorongoro. Nilichochukizwa na huyu mtu ni pale alipomhusisha Mungu kwenye uongo.
Anaeleza kwamba Ngorongoro hakuna Makuburi Kwa maana Hiyo Masai akiugua wanamwacha Ndani wanafungua milango ya maboma Kisha wanafungia kondoo nje Ili fisi au mnyama mkali akija kula MBUZI ale na mgonjwa Kisha wao wanakimbia.
Naomba kumuuliza, anajua maboma ya kimasai yanafungwa na Nini? Anajua kwamba uhitaji kufunga MBUZI mlangoni Kwa sababu MBUZI na binadamu wanaishi pamoja? Anajua Ngorongoro maboma hayana hata Hiyo milango? Anaelewa kwamba suala la kuzika kwenye makaburi limeanza hivi karibuni na kwamba Wajaluo wakizika walikuwa wanapitisha mifugo kuondo kabisa kaburi Kisha wanapanda miti?
Anaelewa kwamba miaka ya zamani Kagera waliishi bila makaburi, anaelewa kwamba wapo watu wanachomwa na kwa msingi wa tamaduni zao uwezi kukuta makaburi? Anaelewa kwamba huko Longido wapo wazee wa Mila wamezikwa hata miaka ya karibuni na viongozi wa kisiasa walishiriki mazishi? Anaelewa kwamba Kila kabila Lina tamaduni zao? Amewahi kujiuliza Hadzabe wanazika VIPI? Amewahi kujiuliza wasukuma porini wanafanyaje wakipata msiba?
Huyu mtu anaishi Dar es Salaam akisubiri alipwe pesa ya safari anajulia wapi Mila na desturi za makabila mengine? Lakini anapotumia vyombo vya habari kuvictimize kabila flani Kwa sababu tu awapendi au hakuna Ndugu zake huko analiweka wapi Taifa? Kwamba alikozaliwa kuna maskini na watoto wengi awaendi shule na anaficha AIBU ya familia yake na ukoo then anaanza kutumia vyombo vya habari kudhalilisha makabila mengine, haya NDIYO aliyofundishwa?Kama ana uchungu yeye na hao waandishi wenzake kwanini wasiandike changamoto za elimi za watoto waliopo vijijini kwao?
Tunapotumia vyombo vya habari kupenyeza agenda let us be neutral. Hatuwezi kutumia vyombo vya habari kudhalilisha Masai Kwa sababu tu awajui kusoma na kuandika na sisi tumesoma. Hatuwezi kudhalilisha maginalized group kwa sababu tu tumejaliwa Kuishi maisha Mazuri na madaraka tunayo. Since 1956 Serikali haikuona hao Wamasai wanaliwa na wanyama waje waone akina Balile Leo? Miaka yote hakuna clip ya hiki anachokisema ,Hana evidence ya MBUZI aliyefungwa kwenye boma kuvutia fisi waje kumla binadamu anapata wapi ñguvu yakuwaambia wanahabari mambo ya hovyo hivi?
Nani anawalipa Hawa watu? Kwa malengo Gani? Tunakumbuka utoroshaji wa twiga? Mambo yalianza hivihivi , tuwe makini na bahasha za matajiri na tukizipokea tusimomonyoe nchi, tule tuiache nchi ikiwa salama. Serikali inaweza kabisa kuwaondoa Masai bila propaganda wala kuwadhalilisha.
Amevuta rushwa ake hukoBalile buana
Hoja gani sasa hizo shemela😂😂😂😂
Ni makanjanja ndiyo maana yanaishi kwa kuajiriwa na vijana wadogo mababu mazimaTuna waandishi wa habari wa hovyohovyo sana nchini mwetu...mtu kma balile,kitenge,msiba ni watu wenye upungufu wa akili wanamiliki vyeti ya DSJ chuo cha mtaani,unategemea waandike habari yenye manufaa,kitenge ni mjivuni mpka akienda kujisaidia anapiga picha
Wamepewa rushwa kubwa sn hawa wajingaHuo ni utamaduni wa maasai tokq enzi na enzi km wamehongwa kupora haki za wamasai watalipa siku moja
Amevuta rushwa ake huko
Rushwa tupuYaani anaongea kama jinga
Kwani nani asiyejua habari ya maasai kukimbia wagonjwa wao waliozidiwa na maiti hata mahospitalini
Shemela kajiaibisha hadi kaaibika tena
Rushwa tupu
kwa iyo unaona sawa wanavyotupa maiti porini? Jinga kabisaUko sahihi Masai haziki hutupa tu porini sasa anaandika kitu hats asichojua kuhusu hilo kabila huko ngorongoro
Yaani akili hana alitegemea kuona kaburi?
Au labda alikua ana maanisha hakuna kujenga makaburiYaani hapo ndo UJINGA wa Balile ulipolala.
Mkukutana nae mwambie ameonekana mjinga sio na wamasai tuu, hata waliyemtuma wamemdharau maana ameshindwa kuja na hoja ya kuwasaidia
Hawa hawalitetei taifa. Wanatetea matumbo yao. Na sidhani kama hilo eneo wanataka tu kulihifadhi. Kuna kitu umma hauambiwi.
Hizo mila zao naona sawa tu hakuna sheria inayosema MTU akifa azikwajekwa iyo unaona sawa wanavyotupa maiti porini? Jinga kabisa
Basi wewe ni mpuuzi uliyetukukaHizo mila zao naona sawa tu