Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba,bwana Deusi Kibamba amesema kuna njama zinafanywa ili Bunge la Katiba lisionyeshwe "live" kwa wananchi.
Bwana Kibamba amesema jambo hilo halikubaliki.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hii ni dalili ya wazi kuwa kuna watu(kundi) limejipanga ama kuhujumu au kuteka mchakato wa kupatikana katiba ndani ya Bunge la Katiba.
Bwana Kibamba amesema jambo hilo halikubaliki.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Hii ni dalili ya wazi kuwa kuna watu(kundi) limejipanga ama kuhujumu au kuteka mchakato wa kupatikana katiba ndani ya Bunge la Katiba.