Sasa DG mpya usipoyatafutia ufumbuzi utatumbuliwa within no time haya matatizo hapa chini, nawe utatumbuliwa. Ujue kuwa huyu ameondoka kwa matatizo haya chini!
1. Kwa muda mrefu wateja wa simu wamelalamikia wizi wa makampuni ya simu kwa wateja, mara zote James Kilaba umetia pamba kwenye masikio as if "umeongwa" na haya makampuni.
2. Umetoa waraka wa kusitisha gharama mpya za vifurushi, tukapiga kelel kuwa haya makampuni yamedharau wito wako, kama kawaida yako ume-mute as if una jambo nao.
3. hakuna monitotring yoyote ambayo ulikuwa unaifanya kwa haya makampuni kutii sheria /kanuni mlizowawekea.
1. Kwa muda mrefu wateja wa simu wamelalamikia wizi wa makampuni ya simu kwa wateja, mara zote James Kilaba umetia pamba kwenye masikio as if "umeongwa" na haya makampuni.
2. Umetoa waraka wa kusitisha gharama mpya za vifurushi, tukapiga kelel kuwa haya makampuni yamedharau wito wako, kama kawaida yako ume-mute as if una jambo nao.
3. hakuna monitotring yoyote ambayo ulikuwa unaifanya kwa haya makampuni kutii sheria /kanuni mlizowawekea.