evergreen juggle
New Member
- May 28, 2024
- 2
- 3
Kumekuwa na tabia ya kuchukiana na kuanzishiana migogoro isiyokuwa na ulazima katika Jamii zetu.
Migogoro hii imekuwa baina ya ndugu,rafiki,majirani na wakati mwingine hadi kwa wazazi
Ni vema Jamii ikafahamishwa na kueleweshwa kuwa DHAMANA ni jambo la hiyari ama hisani na sio HAKI ya m uombaji
Tunaposhindwa kuwadhamini ndug ama watu wetu wa karibu wanatuona tuna roho mbaya na hatuna ushirikiano.
Ukweli ni kuwa kuna baadhi ya watu hatupendi kusikia kabisa wala kujihusisha na kitu kinachoitwa MIKOPO hasa hii ya mitaani.
Mkopo uchukue wewe kwa mahitaji YAKO kisha msongo wa mawazo na misukosuko ya kulipa madeni yasiyonihusu nipambane nayo mimi.
Tafadhali tusilazimishane kusainishana mikataba yenye mfanano na ile yakina Chifu Mangungo. Ifahamike kuwa tunadhoofishana afya.
Migogoro hii imekuwa baina ya ndugu,rafiki,majirani na wakati mwingine hadi kwa wazazi
Ni vema Jamii ikafahamishwa na kueleweshwa kuwa DHAMANA ni jambo la hiyari ama hisani na sio HAKI ya m uombaji
Tunaposhindwa kuwadhamini ndug ama watu wetu wa karibu wanatuona tuna roho mbaya na hatuna ushirikiano.
Ukweli ni kuwa kuna baadhi ya watu hatupendi kusikia kabisa wala kujihusisha na kitu kinachoitwa MIKOPO hasa hii ya mitaani.
Mkopo uchukue wewe kwa mahitaji YAKO kisha msongo wa mawazo na misukosuko ya kulipa madeni yasiyonihusu nipambane nayo mimi.
Tafadhali tusilazimishane kusainishana mikataba yenye mfanano na ile yakina Chifu Mangungo. Ifahamike kuwa tunadhoofishana afya.