Usher-smith MD JF-Expert Member Joined Jul 7, 2015 Posts 9,558 Reaction score 12,335 Jul 15, 2015 #1 Ile pesa unayomwekea ndugu ama rafiki kama dhamana polisi huwa inarudishwa au ndio imeenda?
Michael Ngusa JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 1,637 Reaction score 463 Jul 15, 2015 #2 Irudishwe na wao wale nini? acha roho mbaya.
wilchuma JF-Expert Member Joined May 16, 2013 Posts 1,102 Reaction score 333 Jul 15, 2015 #3 dhamana ni mali kauli,hautakiwi kutoa keshi ila poti wanaimpromvize
C curia Senior Member Joined Sep 26, 2013 Posts 103 Reaction score 37 Jul 16, 2015 #4 wilchuma said: dhamana ni mali kauli,hautakiwi kutoa keshi ila poti wanaimpromvize Click to expand... Inaweza pia kuwa cash hasa mahakamani.
wilchuma said: dhamana ni mali kauli,hautakiwi kutoa keshi ila poti wanaimpromvize Click to expand... Inaweza pia kuwa cash hasa mahakamani.
poorbillionaire JF-Expert Member Joined Mar 4, 2014 Posts 424 Reaction score 239 Jul 17, 2015 #5 Ngoja waje wengine nao wajaziejazie nyama
OLD KOROGWE JF-Expert Member Joined Jan 25, 2015 Posts 556 Reaction score 206 Jul 17, 2015 #6 Kiendacho kwa mganga.................!!
M masaule120 Senior Member Joined Jul 16, 2015 Posts 176 Reaction score 33 Jul 17, 2015 #7 Yaliwahi kunikuta mahakama ya city niliwekewa dhamana ya tsh,50,000 baada ya kutoka nikamfuata askari mmoja pale nikamuuliza ivi kunauwezekano wa hiipesa kija kurudi?akaniambia iyo ndio ishaliwa tena ikimbie usije tena ukaonekana hapa.
Yaliwahi kunikuta mahakama ya city niliwekewa dhamana ya tsh,50,000 baada ya kutoka nikamfuata askari mmoja pale nikamuuliza ivi kunauwezekano wa hiipesa kija kurudi?akaniambia iyo ndio ishaliwa tena ikimbie usije tena ukaonekana hapa.
NikitakaSinyimwi Member Joined Jun 19, 2015 Posts 33 Reaction score 6 Jul 17, 2015 #8 OLD KOROGWE said: Kiendacho kwa mganga.................!! Click to expand... Kinarudi kama tiba haieleweki.....
OLD KOROGWE said: Kiendacho kwa mganga.................!! Click to expand... Kinarudi kama tiba haieleweki.....
M masaule120 Senior Member Joined Jul 16, 2015 Posts 176 Reaction score 33 Jul 17, 2015 #9 Kiendacho kwa mganga kweli hakirudi