Salaam wadau, ninayo dhamana na wazo la biashara lakini kutokana na mfumo wetu wa kibenki hawakopeshi biashara mpya(start up),ndio maana nimekuja hapa. Nahitaji mkopo wa tshs m 100-150,na zamana yangu ina thamani si chini ya 300m,sio lazima uwe na iyo cash,unaweza ukawa na financial statement ambayo inaweza kusecure icho kiasi tukafanya mazungumzo tuone tunaweza vipi kwenda mbele,na kwa wale ambao mnataka kudiversify portfolio zenu za biashara mnakaribishwa kwa joint venture.contacts mjasiriamalidzamani@hotmail.com