Dhamana ya Lema: Court of Appeal landmark case

Dhamana ya Lema: Court of Appeal landmark case

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Waungwana, nadhani hukumu ya jana ya Court of Appeal kuhusu dhamana ya Lema ni muhimu katika mustakabali wa dhamana katika historia ya nchi yetu baada ya uhuru. Ni vizuri kama kuna mwenye hukumu hiyo akaiweka humu, jamii ya kisomi na hata isiyokuwa ya kisomi ikaisoma na kuielewa kwa mustakabali wa kesho.
 
Watawala wa mkono wa chuma hupindisha hata katiba kufanikisha matakwa yao. Hii kesi toka mwanzo hakimu alisema haoni mahali popote panapo sema mtuhumiwa anyimwe dhamana, lakini kilichofanyika ni hila kufanikisha dhulma.
 
Hamna hukumu iliyotolewa na mahakama ya rufaa.Kilichotolewa ni amri ya kuondoa rufaa iliyokatwa na serikali.
 
Wakati tukiendelea kusoma historia ya akina Chifu Mangungo, ngoja tuiangalie Tanzania ya miaka 200 ijayo ni nani ataendelea kusomeka kwenye histori kati ya Mh. Godbless Lema na watesi wake hasa yule bwana mdogo!
 
Wakati tukiendelea kusoma historia ya akina Chifu Mangungo, ngoja tuiangalie Tanzania ya miaka 200 ijayo ni nani ataendelea kusomeka kwenye histori kati ya Mh. Godbless Lema na watesi wake hasa yule bwana mdogo!
Bwana mdogo ajiulize saa Mulongo anawapiga watu mzinga mtaani
 
Mpira unadunda, yaliyompata Lema leo yanaweza kukupata mtu yeyote kesho. Mwanasheria anayepindisha sheria kwasababu yoyote ile ajue kuwa anachimba shimo lake mwenyewe au la mtu wake.
 
Back
Top Bottom