THE MAYA EMPIRE
Senior Member
- May 6, 2018
- 106
- 149
Habar wana jamii
Imemtokea jamaa yangu naishi nae jirani ambae alikutana na demu mwez mmoja uliopita,wakakubaliana kuingia kwenye mahusiano na kupeana mda wa kuachana na wale wapenzi walioanza nao mahusiano kabla ya kukutana
Lakn cha kushangaza yeye anataka awe huru zaid kuliko mwanaume wake
Hapa tokea jana hayupo eti kaenda kusafisha chumba chake na simu kazma tokea aondoke na jamaa hafahamu hicho chumba kipo mtaa gan
HAPA JAMAA KAJIKUNYATA KWENYE SOFA AKISUBIR SIMU YA DEMU WAKE AMPIGIE
NIMEAMINI BORA UWE NA DEMU ZAIDI YA MMOJA KULIKO KUWA NA DEMU MMOJA UMIZA KICHWAView attachment 854137
Sent using Jamii Forums mobile app
Imemtokea jamaa yangu naishi nae jirani ambae alikutana na demu mwez mmoja uliopita,wakakubaliana kuingia kwenye mahusiano na kupeana mda wa kuachana na wale wapenzi walioanza nao mahusiano kabla ya kukutana
Lakn cha kushangaza yeye anataka awe huru zaid kuliko mwanaume wake
Hapa tokea jana hayupo eti kaenda kusafisha chumba chake na simu kazma tokea aondoke na jamaa hafahamu hicho chumba kipo mtaa gan
HAPA JAMAA KAJIKUNYATA KWENYE SOFA AKISUBIR SIMU YA DEMU WAKE AMPIGIE
NIMEAMINI BORA UWE NA DEMU ZAIDI YA MMOJA KULIKO KUWA NA DEMU MMOJA UMIZA KICHWAView attachment 854137
Sent using Jamii Forums mobile app