Dhambi kubwa sana kuwa na demu mmoja

Dhambi kubwa sana kuwa na demu mmoja

THE MAYA EMPIRE

Senior Member
Joined
May 6, 2018
Posts
106
Reaction score
149
Habar wana jamii
Imemtokea jamaa yangu naishi nae jirani ambae alikutana na demu mwez mmoja uliopita,wakakubaliana kuingia kwenye mahusiano na kupeana mda wa kuachana na wale wapenzi walioanza nao mahusiano kabla ya kukutana

Lakn cha kushangaza yeye anataka awe huru zaid kuliko mwanaume wake

Hapa tokea jana hayupo eti kaenda kusafisha chumba chake na simu kazma tokea aondoke na jamaa hafahamu hicho chumba kipo mtaa gan

HAPA JAMAA KAJIKUNYATA KWENYE SOFA AKISUBIR SIMU YA DEMU WAKE AMPIGIE


NIMEAMINI BORA UWE NA DEMU ZAIDI YA MMOJA KULIKO KUWA NA DEMU MMOJA UMIZA KICHWAView attachment 854137

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie aache stress za kijinga. Atafute mademu kama watatu hivi ale maisha

kuanzia leo ieleweke kwamba "Tecno sio Simu"
 
Kwa namna hiyo ushauri wako japo ni mzuri
 
Haya ndiyo natatizo ya kuwekeza akili kwa mwanamke.
Huyo demu atakuwa playgirl.

Hapo utakuta demu akifika msela ndiye atakayeomba hata samahani.
 
Ni kweli ,,,maana yamewahi nikuta
Now ,hawana hesabu,nanenepa tu,wanakuja na kuondoka
Kama shule vile
 
kweli kabisa kwanza kuwa na Demu mmoja ni uzembe uliotukuka, lazima uwe na alternative plan kwa manufaa yako.
 
Back
Top Bottom