Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
CCM wanafanya hesabu hawapati jawabu hivi sasa na wakiangalia muda unatoweka kwa nguvu huku Jumuiya za kimataifa zikiwakodolea macho. Magufuli anaikimbia Ikulu ya Magogoni. Wengine wakipita Mkoa kwa Mkoa Tanganyika nao sasa wanawambia watu wao wapeleke madai katika Mahakama ya Afrika ya Mashariki wadai uhalali wa Muungano na kila Mkoa wasaini watu 300,000.
Sasa Tanganyika imeshajua na kuiona Hatari inayokuja mbele yake.
Wanatafuta pa kutokea hawapaoni, wanaomba ardhi ipasuke waingie wajifiche.
Baraza la Amani la Umoja wa Mataifa kupitia msukumo wa Liberal Party International hawasikii chochote ila haki ya Wazanzibari ya 2015 ipatikane.
Waziri wa Sheria na Katiba wa Tanganyika yuko Marekani kutafuta namna ya Kuiepuka kashafa hii nako imegonga mwamba.
Matumaini pekee sasa wanasubiri KIGODA cha Mwalimu Nyerere kisaidie nayo pia haiweze kani kwasababu walishampiga Joseph Sinde Warioba na huku Salim Ahmeid Salim ni mgonjwa haelewi tena kinachoendelea.
Iliyobaki sasa ni majuto na majuto ni Mjukuu. Walifanya haramu sasa wanajuta kwa hivo tutizameni hii cinema itaishia wapi. Lakini yajayo yanafurahisha.
Sasa Tanganyika imeshajua na kuiona Hatari inayokuja mbele yake.
Wanatafuta pa kutokea hawapaoni, wanaomba ardhi ipasuke waingie wajifiche.
Baraza la Amani la Umoja wa Mataifa kupitia msukumo wa Liberal Party International hawasikii chochote ila haki ya Wazanzibari ya 2015 ipatikane.
Waziri wa Sheria na Katiba wa Tanganyika yuko Marekani kutafuta namna ya Kuiepuka kashafa hii nako imegonga mwamba.
Matumaini pekee sasa wanasubiri KIGODA cha Mwalimu Nyerere kisaidie nayo pia haiweze kani kwasababu walishampiga Joseph Sinde Warioba na huku Salim Ahmeid Salim ni mgonjwa haelewi tena kinachoendelea.
Iliyobaki sasa ni majuto na majuto ni Mjukuu. Walifanya haramu sasa wanajuta kwa hivo tutizameni hii cinema itaishia wapi. Lakini yajayo yanafurahisha.