JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Je, Dalili za #COVID19 ni tofauti kati ya Watu Wazima na watoto?
======
JE, NAWEZA KUPATA #CORONAVIRUS KWA VITU NILIVYOAGIZA UGHAIBUNI?
Kuna tetesi nyingi na taarifa nyingi zinazozunguka kuhusu #COVID19 ugonjwa unaosababishwa na #CoronaVirus, hivyo ni vemakujua zipi ni taarifa za kweli na zipi ni uongo
Kuna baadhi ya watu wanasema ni hatari na unaweza kupata maambukizi ya virusi hivyo kwa kununua bidhaa Ughaibuni inayosafiri kwa muda fulani kukufikia
TAARIFA HIZO SI KWELI: Watafiti bado wanafanya uchunguzi juu ya virusi hivi ambavyo ni vipya kujua kwa namna gani vinaambukiza watu
Hadi sasa, Shirika la Afya (WHO) linasema uwezekano wa kuambukizwa #COVID_19 kutoka kwenye bidhaa hizo ni mdogo kwa kuwa bidhaa inasafiri kwa siku kadhaa na katika hali ya hewa tofauti tofauti
UFAHAMU: KUOGA MAJI YA MOTO SI KINGA DHIDI YA #CORONAVIRUS
Kupitia Mitandao ya Kijamii zipo taarifa kuwa kuoga maji ya moto ni kinga dhidi ya maambukizi ya Ugonjwa wa #COVID19
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limefafanua kuwa kuoga maji ya moto sio kinga dhidi ya kupata maambukizi ya Virusi vya Corona
WHO: Joto la kawaida la Mwili wa Mwanadamu ni Sentigredi 36.5° hadi Sentigredi 37° bila ya kutegemea joto la maji ya kuoga ni kiasi gani
Wameonya kuwa kuoga maji ya moto sana inaweza kuwa hatari kwa ngozi yako na kukuletea majeraha
WHO wanashauri kuwa njia bora ya kujilinda dhidi ya maambukizi ya #COVID19 ni kwa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka
Kuepuka mikusanyiko na ikibidi basi hakikisha unakuwa mbali na jirani yako kwa angalau mita 2. Usisalimiane kwa kushikana mikono
Tumia Vitakasa Mikono kila mara pale unapokosa sabuni na maji tiririka
JE, UGONJWA WA #COVID19 UNAAMBUKIZA KWA NJIA YA HEWA?
Kwa mujibu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa(WHO) Virusi vya Corona vinasambaa kupitia majimaji yanayotoka kwa muathirika pindi anapokohoa, kupiga au kupiga chafya
Majimaji hayo hayana uwezo wa kuelea angani ili kuweza kuvutwa na Mtu mwingine. Majimaji hayo huanguka chini mara baada ya kumtoka muathirika
Mtu anaweza kuambukizwa #Coronaavirus kwa kurukiwa na majimaji yenye Virusi akiwa ndani ya mita moja kutoka kwa muathirika.
WHO inawahamasisha Watu kuepuka mikusanyiko au kukaa umbali wa zaidi ya mita 1
JE, KIPIMO CHA KUPIMA JOTO LA MWILI KINAWEZA KUTAMBUA MTU MWENYE MAAMBUKIZI YA #COVID19?
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limefafanua kuwa Kipima Joto(Thermal Scanner) kinaweza kutambua Mtu mwenye homa lakini hakitambui Mtu aliyeambukizwa #COVID19 ambaye bado hana dalili za kuwa na joto lenye kuashiria homa
Aidha, inashauriwa kufika katika Vituo vya Afya au Hospitali endapo utahisi kuwa na dalili za maambukizi ya #COVID19
Je, watoto wako kwenye athari kubwa ya kuathiriwa na Virusi Corona?
Mpaka sasa hakuna ushahidi wa wazi wa Watoto kuwa katika hatari kubwa ya kuambukizwa Virusi vya #COVID19. Ingawa zipo taarifa chache za Watoto kuugua #COVID19 lakini takwimu zinaonesha kuwa watu wazima kuwa wahanga zaidi wa #coronavirus
JINSI YA KUWALINDA WATOTO
1: Wafundishe Watoto kuhusu #COVID19, na namna inavyosammbaa pamoja na madhara yake. Waeleze bila ya kuwatisha
2: Wafundishe kunawa mikono yuao kwa Maji Tiririka kwa kutumia sabuni au "Sanitizer" yenye kiwango cha kilevi kwa asilimia 60
3: Waeleze umuhimu wa kukaa mbali na watu pamoja na kuwaepuka watu wanaopiga chafya na kukohoa bila ya kujikinga
4: Safisha kwa kufuata maelekezo ya afya kwa kutumia sabuni ya "Sanitizer" maeneo yote ambayo watoto wanaweza kugusa(Meza, viti, na vitu vingine wanavyokula)
Virusi vya Corona havisambai kwenye hali ya hewa ya joto
Mnamo Machi 9, 2020 Rais wa Marekani, Donald Trump alinukuliwa akisema kuwa Vurusi vya Maambukizi ya Corona vitakoma mwezi Aprili kwasababu Marekani kutakuwa na joto
Aidha, alinukuliwa akisema joto huua virusi vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO), Virusi vya Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona vinauwezo wa kusambaa katika hali zote za hewa
WHO wanasema bado hakuna ushahidi kuwa Virusi vya Ugonjwa wa Corona ni vya msimu au hulipuka katika kipindi fulani cha majira ya mwaka
Corona huwaathiri wazee pekee yao
Dhana hii imejengeka miongoni mwa watu wengi kwakuwa kinga yao iko chini ukilinganisha na watu wa makundi mengine
USAHIHI: 👇🏿
Sio kweli kwamba Virusi vya##COVID19 huwaathiri wazee pekee. Kwa mujibu wa takwimu kutoka vyanzo mbalimbali zinaonesha kuwa #COVID19 waathirika wa #coronavirus ni watu wa rika zote
WHO: Watu wenye Kisukari, matatizo ya Shambulio la Moyo na Pumu wako kwenye hatari zaidi na magonjwa mengine yanayopunguza kinga ya mwili
KUSHIKILIA PUMZI YAKO KWA SEKUNDE 10 BILA YA KUKOHOA AU KUJISIKIA VIBAYA SIO KIPIMO CHA #COVID19
Kupitia Mitandao ya Kijamii zimekuwepo taarifa kuwa watu wanaweza kujipima kama wamepata maambukizi ya #CoronaVirus kwa kushikilia pumzi yao kwa sekunde 10
Taarifa hizo zinaeleza kuwa ndani ya sekunde 10 endapo utashikilia pumzi na ukianza kujisikia vibaya au kuanza kukohoa basi umepata maambukizi
Shirika la Umoja wa Mataifa limefafanua kuwa taarifa hizo si za kweli na kipimo halisi cha #COVID19 kinapatikana katika Hospitali zilizoelekezwa na mamlaka za nchi husika pekee
======
Being able to hold your breath for 10 seconds or more without coughing or feeling discomfort DOES NOT mean you are free from the coronavirus disease (COVID-19) or any other lung disease.
The most common symptoms of COVID-19 are dry cough, tiredness and fever. Some people may develop more severe forms of the disease, such as pneumonia.
The best way to confirm if you have the virus producing COVID-19 disease is with a laboratory test. You cannot confirm it with this breathing exercise, which can even be dangerous.
=======
The World Health Organizaton
At a rally on March 9, US President Trump told his supporters that the coronavirus will go away in April as the weather in the US gets warmer.
Last month, he was also quoted saying that the virus would be gone by April and that "the heat generally speaking kills this kind of virus," referring to the idea that warmer weather will kill the virus and thus help minimize its spread.
Truth: According to the WHO, the coronavirus can be transmitted in all areas of the globe, including hot climates. It won't just go away in the Northern Hemisphere as the weather gets warmer in spring and summer, experts say. We do not yet know if COVID-19 is a seasonal virus like influenza is, meaning it loses the ability to infect cells as the temperature rises.
Covid-19 affects only older people
•While older people are at greater risk owing to weakened immunity, there’s no evidence to show that younger, healthy people cannot be infected. Currently, all demographics are affected by the virus across the world.
The mortality rate, however, is higher among older persons.
• WHO says people with diabetes, asthma and heart diseases are at higher risk of infection.
Mosquito bites can cause infection
•Covid-19 is a respiratory disease that’s chiefly caused by saliva or mucus droplets resulting from a cough or sneeze from an infected person. Mosquitoes cannot transmit the virus.
C|Net
======
JE, NAWEZA KUPATA #CORONAVIRUS KWA VITU NILIVYOAGIZA UGHAIBUNI?
Kuna tetesi nyingi na taarifa nyingi zinazozunguka kuhusu #COVID19 ugonjwa unaosababishwa na #CoronaVirus, hivyo ni vemakujua zipi ni taarifa za kweli na zipi ni uongo
Kuna baadhi ya watu wanasema ni hatari na unaweza kupata maambukizi ya virusi hivyo kwa kununua bidhaa Ughaibuni inayosafiri kwa muda fulani kukufikia
TAARIFA HIZO SI KWELI: Watafiti bado wanafanya uchunguzi juu ya virusi hivi ambavyo ni vipya kujua kwa namna gani vinaambukiza watu
Hadi sasa, Shirika la Afya (WHO) linasema uwezekano wa kuambukizwa #COVID_19 kutoka kwenye bidhaa hizo ni mdogo kwa kuwa bidhaa inasafiri kwa siku kadhaa na katika hali ya hewa tofauti tofauti
UFAHAMU: KUOGA MAJI YA MOTO SI KINGA DHIDI YA #CORONAVIRUS
Kupitia Mitandao ya Kijamii zipo taarifa kuwa kuoga maji ya moto ni kinga dhidi ya maambukizi ya Ugonjwa wa #COVID19
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limefafanua kuwa kuoga maji ya moto sio kinga dhidi ya kupata maambukizi ya Virusi vya Corona
WHO: Joto la kawaida la Mwili wa Mwanadamu ni Sentigredi 36.5° hadi Sentigredi 37° bila ya kutegemea joto la maji ya kuoga ni kiasi gani
Wameonya kuwa kuoga maji ya moto sana inaweza kuwa hatari kwa ngozi yako na kukuletea majeraha
WHO wanashauri kuwa njia bora ya kujilinda dhidi ya maambukizi ya #COVID19 ni kwa kunawa mikono kwa sabuni na maji tiririka
Kuepuka mikusanyiko na ikibidi basi hakikisha unakuwa mbali na jirani yako kwa angalau mita 2. Usisalimiane kwa kushikana mikono
Tumia Vitakasa Mikono kila mara pale unapokosa sabuni na maji tiririka
JE, UGONJWA WA #COVID19 UNAAMBUKIZA KWA NJIA YA HEWA?
Kwa mujibu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa(WHO) Virusi vya Corona vinasambaa kupitia majimaji yanayotoka kwa muathirika pindi anapokohoa, kupiga au kupiga chafya
Majimaji hayo hayana uwezo wa kuelea angani ili kuweza kuvutwa na Mtu mwingine. Majimaji hayo huanguka chini mara baada ya kumtoka muathirika
Mtu anaweza kuambukizwa #Coronaavirus kwa kurukiwa na majimaji yenye Virusi akiwa ndani ya mita moja kutoka kwa muathirika.
WHO inawahamasisha Watu kuepuka mikusanyiko au kukaa umbali wa zaidi ya mita 1
JE, KIPIMO CHA KUPIMA JOTO LA MWILI KINAWEZA KUTAMBUA MTU MWENYE MAAMBUKIZI YA #COVID19?
Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) limefafanua kuwa Kipima Joto(Thermal Scanner) kinaweza kutambua Mtu mwenye homa lakini hakitambui Mtu aliyeambukizwa #COVID19 ambaye bado hana dalili za kuwa na joto lenye kuashiria homa
Aidha, inashauriwa kufika katika Vituo vya Afya au Hospitali endapo utahisi kuwa na dalili za maambukizi ya #COVID19
Je, watoto wako kwenye athari kubwa ya kuathiriwa na Virusi Corona?
Mpaka sasa hakuna ushahidi wa wazi wa Watoto kuwa katika hatari kubwa ya kuambukizwa Virusi vya #COVID19. Ingawa zipo taarifa chache za Watoto kuugua #COVID19 lakini takwimu zinaonesha kuwa watu wazima kuwa wahanga zaidi wa #coronavirus
JINSI YA KUWALINDA WATOTO
1: Wafundishe Watoto kuhusu #COVID19, na namna inavyosammbaa pamoja na madhara yake. Waeleze bila ya kuwatisha
2: Wafundishe kunawa mikono yuao kwa Maji Tiririka kwa kutumia sabuni au "Sanitizer" yenye kiwango cha kilevi kwa asilimia 60
3: Waeleze umuhimu wa kukaa mbali na watu pamoja na kuwaepuka watu wanaopiga chafya na kukohoa bila ya kujikinga
4: Safisha kwa kufuata maelekezo ya afya kwa kutumia sabuni ya "Sanitizer" maeneo yote ambayo watoto wanaweza kugusa(Meza, viti, na vitu vingine wanavyokula)
Virusi vya Corona havisambai kwenye hali ya hewa ya joto
Mnamo Machi 9, 2020 Rais wa Marekani, Donald Trump alinukuliwa akisema kuwa Vurusi vya Maambukizi ya Corona vitakoma mwezi Aprili kwasababu Marekani kutakuwa na joto
Aidha, alinukuliwa akisema joto huua virusi vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani(WHO), Virusi vya Maambukizi ya Ugonjwa wa Corona vinauwezo wa kusambaa katika hali zote za hewa
WHO wanasema bado hakuna ushahidi kuwa Virusi vya Ugonjwa wa Corona ni vya msimu au hulipuka katika kipindi fulani cha majira ya mwaka
Corona huwaathiri wazee pekee yao
Dhana hii imejengeka miongoni mwa watu wengi kwakuwa kinga yao iko chini ukilinganisha na watu wa makundi mengine
USAHIHI: 👇🏿
Sio kweli kwamba Virusi vya##COVID19 huwaathiri wazee pekee. Kwa mujibu wa takwimu kutoka vyanzo mbalimbali zinaonesha kuwa #COVID19 waathirika wa #coronavirus ni watu wa rika zote
WHO: Watu wenye Kisukari, matatizo ya Shambulio la Moyo na Pumu wako kwenye hatari zaidi na magonjwa mengine yanayopunguza kinga ya mwili
KUSHIKILIA PUMZI YAKO KWA SEKUNDE 10 BILA YA KUKOHOA AU KUJISIKIA VIBAYA SIO KIPIMO CHA #COVID19
Kupitia Mitandao ya Kijamii zimekuwepo taarifa kuwa watu wanaweza kujipima kama wamepata maambukizi ya #CoronaVirus kwa kushikilia pumzi yao kwa sekunde 10
Taarifa hizo zinaeleza kuwa ndani ya sekunde 10 endapo utashikilia pumzi na ukianza kujisikia vibaya au kuanza kukohoa basi umepata maambukizi
Shirika la Umoja wa Mataifa limefafanua kuwa taarifa hizo si za kweli na kipimo halisi cha #COVID19 kinapatikana katika Hospitali zilizoelekezwa na mamlaka za nchi husika pekee
======
Being able to hold your breath for 10 seconds or more without coughing or feeling discomfort DOES NOT mean you are free from the coronavirus disease (COVID-19) or any other lung disease.
The most common symptoms of COVID-19 are dry cough, tiredness and fever. Some people may develop more severe forms of the disease, such as pneumonia.
The best way to confirm if you have the virus producing COVID-19 disease is with a laboratory test. You cannot confirm it with this breathing exercise, which can even be dangerous.
=======
The World Health Organizaton
At a rally on March 9, US President Trump told his supporters that the coronavirus will go away in April as the weather in the US gets warmer.
Last month, he was also quoted saying that the virus would be gone by April and that "the heat generally speaking kills this kind of virus," referring to the idea that warmer weather will kill the virus and thus help minimize its spread.
Truth: According to the WHO, the coronavirus can be transmitted in all areas of the globe, including hot climates. It won't just go away in the Northern Hemisphere as the weather gets warmer in spring and summer, experts say. We do not yet know if COVID-19 is a seasonal virus like influenza is, meaning it loses the ability to infect cells as the temperature rises.
Covid-19 affects only older people
•While older people are at greater risk owing to weakened immunity, there’s no evidence to show that younger, healthy people cannot be infected. Currently, all demographics are affected by the virus across the world.
The mortality rate, however, is higher among older persons.
• WHO says people with diabetes, asthma and heart diseases are at higher risk of infection.
Mosquito bites can cause infection
•Covid-19 is a respiratory disease that’s chiefly caused by saliva or mucus droplets resulting from a cough or sneeze from an infected person. Mosquitoes cannot transmit the virus.
C|Net