jacquejaytee
Member
- Jan 20, 2014
- 46
- 27
Unajua madereva vizuri?Ni bora umpe dereva dala dala ya Auto akuletee elfu 90 kuliko umpe dala dala ya manual akuletee laki. Madereva wengi wanatumia gia kubwa sehemu ambayo alitakiwa atumie gear ndogo hivyo kuichosha engine mapema. Kwenye auto, hawezi kufanya hivyo. Hii hupelekea gari kudumu zaidi.
Wakuu habari ya leo,
Kuna dhana kuwa gari za kubebea mizigo kama kirikuu na zile mini canter hazitakiwi ziwe automatic,ni lazima ziwe manual.
Hii ikoje kitaalam na je ni kweli magari ya automatic hayawezi biashara ya kubeba mizigo?
Wakuu habari ya leo,
Kuna dhana kuwa gari za kubebea mizigo kama kirikuu na zile mini canter hazitakiwi ziwe automatic,ni lazima ziwe manual.
Hii ikoje kitaalam na je ni kweli magari ya automatic hayawezi biashara ya kubeba mizigo?
Gearbox za automatic zina makundi zaidi ya 10Hayo maneno ya vijiweni achana nayo. Siku hizi gari nyingi kubwa zinakuja na mfumo wa automatic transmission kwa ajili ya kumpunguzia dereva uchovu na kuongeza ufanisi wa gari.
Scania, Man Diesel, Mercedes Benz za kubeba tani zaidi ya 30 ni automatic.
Zipo automatic gearboxes zinazofaa kwa mizigo.Sina uzoefu sana ila kuna fundi aliniambia Automatic gear box inahitaji umakini sana tofauti na hizi manual hasa kama unapanda milima mara kwa mara
Dar hapa milima hamna boss.Sina uzoefu sana ila kuna fundi aliniambia Automatic gear box inahitaji umakini sana tofauti na hizi manual hasa kama unapanda milima mara kwa mara
automatic za magari makubwa na mitambo ni tofauti ki mfumo. na za gari ndogo.Shida kubwa ni madereva na wala sio gear box automatic.
Automatic zipo kwenye dumper za migodini za tani 100,hadi 150 sasa kirikuu au canter itakuwaje haifai?.
Watu wamezoea gari za kulazimisha gia hilo ndio tatizo.
Na automatic ukiijulia wala haina tatizo ni gari nzuri tuu.
Hakikisha throttle pedal unaikañyaga taratibu kama hautaki utaona gari inavyobadilisha gia kwa rotation kati ya 1200/1400 hapo gari yako utaiona ilivyonyepesi na hats unywaji wa MAFUTA unakuwa mzuri kabisa.
sahihi kabisaZipo gari automatic za kubebea mizigo lakini gearbox zake si kama hizi za automatic nyingi unazoziona kwenye gari ndogo.
Ni kweli mkuu hilo , gear box ya Scania opticruise kuna pedal ya clutch na unaitumià kuondoka Na kusimama tuu, ila kwa zile za zf as tronic Kama za iveco na daf cf hizo HAZINA kabisa pedal za clutch, tukija kwenye actors power shift clutch unatumia juu kweñye gear lever.automatic za magari makubwa na mitambo ni tofauti ki mfumo. na za gari ndogo.
kwenye gati ndogo zinatumia fluid (torque converter ) kweye magari makubwa zinatumia dry clutch
Gear box za zile basi ni za voith (Germany) hizo ziko kama za lory.sahihi kabisa
you can tell by the way it loads the next gear
zile basi za mwendokasi ni auto kama ya gari ndogo tu( torque converter.)
Sijaona Dereva wa daladala anayetumia gear namba 1 yaaani hawa jamaa Kwenye kusimama ni namba 2 Kwenye kutoka ataingiza namba 2 Kwa kifupi wako hivyo pia kuondoka na Gia kubwa inatokana na uchakavu wa engine hasa diesel engines zinakuwa nzito Sana kuchanganya ndiyo maana madereva wa daladala wanagonga Gia namba 2..Ni bora umpe dereva dala dala ya Auto akuletee elfu 90 kuliko umpe dala dala ya manual akuletee laki. Madereva wengi wanatumia gia kubwa sehemu ambayo alitakiwa atumie gear ndogo hivyo kuichosha engine mapema. Kwenye auto, hawezi kufanya hivyo. Hii hupelekea gari kudumu zaidi.
Dar hapa milima hamna boss.