Dhana ya kuoga sana au mara kwa mara, Je nao ni ugonjwa?

Dhana ya kuoga sana au mara kwa mara, Je nao ni ugonjwa?

bbwaoy

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
466
Reaction score
468
Heri,

Nakiri kua nina yapenda sana maji kupita kiasi. Naweza kuoga hata mara 6 kwa siku. Sipendi jasho hivyo huni fanya nioge mara kwa mara.

Sasa basi kuna dhana kua " uki oga mara kwa mara hupati afya au wakati mwingine utasikia , unaoga sana ndio maana hunenepi"

Kuna uhusiano wowote wa kukonda mwili au kuto kunenepa kama sio kunawili na kuoga sana?

Si ajabu kusikia huu nao ni ugonjwa .
 
Oga ata mara 10 hamna shida
 
Ila kuoga mara nyingi kunasababisha ngozi ishindwe kujiboresha kiasili kwa vile unaondosha mafuta yake kwa kemikali zilizomo kwenye sabuni na hivyo inaweza kuifanya ngozi ipungukiwe mng'ao wake wa asili.
 
Ila kuoga mara nyingi kunasababisha ngozi ishindwe kujiboresha kiasili kwa vile unaondosha mafuta yake kwa kemikali zilizomo kwenye sabuni na hivyo inaweza kuifanya ngozi ipungukiwe mng'ao wake wa asili.
 
Heri,

Nakiri kua nina yapenda sana maji kupita kiasi. Naweza kuoga hata mara 6 kwa siku. Sipendi jasho hivyo huni fanya nioge mara kwa mara.

Sasa basi kuna dhana kua " uki oga mara kwa mara hupati afya au wakati mwingine utasikia , unaoga sana ndio maana hunenepi"

Kuna uhusiano wowote wa kukonda mwili au kuto kunenepa kama sio kunawili na kuoga sana?

Si ajabu kusikia huu nao ni ugonjwa .
Unaoga mara sita hufanyi kazii au husomi? Mara nyingi mtu anaoga asubuhi kabla ya kutoka na baadae jioni.
 
Unaoga mara sita hufanyi kazii au husomi? Mara nyingi mtu anaoga asubuhi kabla ya kutoka na baadae jioni.

Weekends , ila siku za kazi kidogo kiyoyozi kina saidia
 
Basi hauna kazi mkuu.... aku kazini kwako kuna bafu?
 
Kuoga mara 6, ID na hiyo avatar, aisee! Kuna tatizo mahali sibure...
 
Utakuwa unashinda nyumbani siku zote? Au huwa unaoga popote pale unapokuwepo?
Kwa mtu mwenye shughuli za kawaida huwezi pata muda wa kuoga mara zote hizo.
 
Back
Top Bottom