Kuna Dhana ilianza kupigiwa debe na Serikali ya kuwawezesha watanzania kunufaika na fursa zilizoko nchini ili kuchochea ajira na kukuza uchumi wa nchi yetu, Leo Bilioni 7.5 zinakwenda kunufaisha nchi jirani wakati angepewa Songoro Marine ambaye ni mtanzania fedha zingezunguka Tanzania.
Vijana wa kitanzania wangepata ajira, mama ntilie wangepata ajira, bodaboda wangepata ajira, viwanda vyetu vya ndani vingeuza malighafi nini hasa kilichowasukuma Wizara ya Uchukuzi kuamua kuiacha Kampuni ya Songoro Marine na kuwapelekea kazi hiyo nchi ya nje?
Au dhana ya Local Content haizingatiwi kwa sasa katika vipaumbele vya Wizara?
Vijana wa kitanzania wangepata ajira, mama ntilie wangepata ajira, bodaboda wangepata ajira, viwanda vyetu vya ndani vingeuza malighafi nini hasa kilichowasukuma Wizara ya Uchukuzi kuamua kuiacha Kampuni ya Songoro Marine na kuwapelekea kazi hiyo nchi ya nje?
Au dhana ya Local Content haizingatiwi kwa sasa katika vipaumbele vya Wizara?