Hivi wasanii kwa kaliba yao na ubutu wao wa uelewa, kuna la maana wanaweza kulijenga ktk meza ya majadiliano yahusuyo sera, mipango, mitazamo ya sanaa na mustabari wake?
Kulikuwa na haja gani ya mhe rais kuambatana na wasanii ktk ziara yake huko Korea ? Kwann rais asingeambatana na "watu vichwa" kutoka sekta za uchumi, mipango na sanaa ili wakapokee mawazo ya wakorea na kuyachakata kabla ya kusaini mikataba ama makubaliano yoyote?
Hivi wasanii, mfano Elizabeth Michael aka Lulu, mbali ya "make up" yake ana nini kichwani?
Kuna kasumba ya kuamini hata huko bungeni, kuwa maslahi ya vijana yatapiganiwa na wabunge vijana, walemavu na wabunge walemavu, vyuo vikuu na wabunge toka vyuo vikuu, wasaninii na wabunge wasanii.
Tangu tumepeleka wabunge wanawake na walemavu huko bungeni adha na shida za wanawake na walemavu zimeisha? Huyo MwanaFA ni msanii na naibu waziri, Kuna la maana kalifanya lililoibadilisha sanaa??
Hii kasumba itatumaliza.
Hakukuwa na ulazima kuwapeleka wasanii Korea Kusini..
Kulikuwa na haja gani ya mhe rais kuambatana na wasanii ktk ziara yake huko Korea ? Kwann rais asingeambatana na "watu vichwa" kutoka sekta za uchumi, mipango na sanaa ili wakapokee mawazo ya wakorea na kuyachakata kabla ya kusaini mikataba ama makubaliano yoyote?
Hivi wasanii, mfano Elizabeth Michael aka Lulu, mbali ya "make up" yake ana nini kichwani?
Kuna kasumba ya kuamini hata huko bungeni, kuwa maslahi ya vijana yatapiganiwa na wabunge vijana, walemavu na wabunge walemavu, vyuo vikuu na wabunge toka vyuo vikuu, wasaninii na wabunge wasanii.
Tangu tumepeleka wabunge wanawake na walemavu huko bungeni adha na shida za wanawake na walemavu zimeisha? Huyo MwanaFA ni msanii na naibu waziri, Kuna la maana kalifanya lililoibadilisha sanaa??
Hii kasumba itatumaliza.
Hakukuwa na ulazima kuwapeleka wasanii Korea Kusini..