Dhana ya mshahara wa kwanza kutolea sadaka ya malimbuko

Dhana ya mshahara wa kwanza kutolea sadaka ya malimbuko

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Unapokua katika msoto wa kutafuta kazi kiutaratibu wa matoleo unapaswa kuupeleka mshahara wote baada ya malipo yako ya kwanza kama malimbuko kanisani.

Hii inakusaidia kukulinda kazini dhidi ya kutimuliwa kazi, afya, figisu, nk. Karibuni kwa wale wakuongeza nk. Hii ni kwa watu wote hata uwe nani.
 
1. Nijulishe hii Pesa hua inaenda kwa nani?

2. Kufukuzwa kasi hutokea pale kunapokua na dosari kiutendaji/ au redundancy? Hii sadaka inanisaidiaje?

3. Binadamu yeyote magonjwa ni lazima na umri unavozidi kwenda magonjwa nayo yanazidi kusonga hivo hii sadaka itanisaidiajd?

4. Kazini figisu zipo kwasababu kila muajiriwa mahitaji ni mengi kuliko kipato hivo akiona unaingila kwenye njia za kipato chake hawezi kukuacha ukaendelea kuharibu, hapa hii sadaka inasaidia nini?

Kuna kwenda shule kutoa ujinga na kuna kwensa shule kujitambua

Ukiweza kujua wewe uko kundi lipi ni rahisi sana kufanikiwa kwenye dunia ya leo.
 
1. Nijulishe hii Pesa hua inaenda kwa nani?

2. Kufukuzwa kasi hutokea pale
kunapokua na dosari kiutendaji/ au redundancy? Hii sadaka inanisaidiaje...
Hapo kwenye kutoa ujinga na kujitambua kuhusu shule,ningependa uongeze nyama nyama mkuu!!!
 
Back
Top Bottom