Dhana ya teknolojia kudidimiza ajira imekaa kinjama

Dhana ya teknolojia kudidimiza ajira imekaa kinjama

wazanaki

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2020
Posts
1,092
Reaction score
808
Lets say tuna nchi yenye watu 60m. Wananchi wanaendelea kufanya shughuli zao kama kawaida. Kuna watu wanasaga mahindi kwa kutumia mawe, watu wanatumia vibatari kwa ajili ya mwanga, watu wanatumia usafiri wa punda. Kila kitu kikawa kiko slow na watu kutumia nguvu nyingi kuzalisha kutokana na ukosefu wa technolojia.

Mara, vuup, kukatokea uvumbuzi wa teknolojia nyingi, kukawa na mashime za kusaga, kukawa na umeme, kukawa na magari.

My point[emoji116]

Huwezi nambia kwamba ulivoleta technolojia kwa watu 60m itawapunguzia ajira kwa sababu robots zitafanya kazi ya mwanadamu. Sasa kama robot inafanya kazi ile ile si mwanadamu anatakiwa apumzike na afaidike na robot.

Kuna watu huwa wanapenda kutumia hii fact sana.
 
Haijakaa ki'trick it really does.

Pengine mifano yako imegusa kwenye one by one substitution lakini ukuaji wa technology kwa upande mwengine inagusa kwenye one by many substitution.

Mfano kazi ya folklift kwenye magodauni ilibidi ifanywe na makuli pengine hata kumi lakini itahitaji operater tuu kuendesha. Hivyo technology inakula vichwa vya wengi( ajira ) kwa mbadala wa single unit.

Mifano iko mingi

Utaendeshaje maisha ukiwa umepumzika yani umefanyiwa mbadala na robots?

Nadhani tuwe tu compatible na mazingira ya dunia.
 
Pale benki ulihitaji kuwa na tellers wangapi kuwahudumia wateja wa kutoa pesa? Badala yake wateja wanatoa kwenye ATM. Ulihitaji kuwa na sales points ngapi kuhudumia wateja wanaofanya malipo mbalimbali? Badala yake wananchi wanafanya miamala directly kupitia simu zao.

Tuchukue mfano wa mfanyakazi anayepokea mshahara serikalini; mshahara ukishaingia kwenye akaunti yake; mfanyakazi huyu kwa kutumia simu yake ananunua umeme, analipia bili za maji, ananunua muda wa maongezi, anatuma pesa kwa watu wengine, n.k. n.k. bila ku-interface na binadamu yeyote. Kwenye huu mlolongo ajira zimepungua au zimeongezeka?
 
Haijakaa ki'trick it really does.

Pengine mifano yako imegusa kwenye one by one substitution lakini ukuaji wa technology kwa upande mwengine inagusa kwenye one by many substitution...
I mean unaweza ukawapunguzia watu kazi lakini mshahara unakua ule ule. Lakini sio kufukuza baadhi ya wafanyakazi
 
Historia inaonyesha teknolojia hukuza uchumi na kuongeza ajira.
 
My point
emoji116.png


Huwezi nambia kwamba ulivoleta technolojia kwa watu 60m itawapunguzia ajira kwa sababu robots zitafanya kazi ya mwanadamu. Sasa kama robot inafanya kazi ile ile si mwanadamu anatakiwa apumzike na afaidike na robot.

Kuna watu huwa wanapenda kutumia hii fact sana.
Nenda deep kidogo kwa faida ya sisi slow learners
 
Back
Top Bottom