Dharau hizi mpaka lini lakini?

Dharau hizi mpaka lini lakini?

zile 50M wanawaza watazitapikaje
 
Rais wetu mtukufu kashawasamehe,hivyo na wao wataomba msamaha!
 
Mkuu wameomba bwana kupitia kwa nahodha wao,pia Amunike nae aliomba,tengua kauli mzee.
 
Cc@kajole Tapeli wewe na Mimi nitadeal na wewe mpaka nipate details zako zoote labda nisiwe sijasomea IT mimi
 
Imekuwaje tena mkuu .. hii mara ya pili sasa nasikia hizo tuhuma kuhusu jamaa kwamba ni tapeli " amemtapeli nani aise





Sent using Jamii Forums mobile app
Alifunguliwa uzi kabisa jamaa katapeli watu nyomi tu, sema Kuna jamaa ndo akamtapeli elfu 11 jamaa akaamua kumfungulia uzi kwa kifupi jamaa kapiga pesa za watu kibao izi elfu 7 , 7 cc Kajole
 
Back
Top Bottom