Mcheza Piano
JF-Expert Member
- Mar 2, 2024
- 562
- 1,339
Hii ni dharau, pili mshahara wa Benchikha ulitoka kwa mmiliki wa club ya Simba yaani Mo (alisema kainunua na hajawahi kufuta kauli yake), mishahara ya Mgunda na Matola inatokana na mapato ya club, yaani ikitokea watu wamechelewesha kodi kwenye lile jengo lao, au wanachama wamesusia kulipa ada, makocha wanaingia taabuni.
Ndugu yangu Mo, Mangungu na Try Again hebu kuweni serious kidogo, hawa watu mnawaumiza kisaikolojia.
Ndugu yangu Mo, Mangungu na Try Again hebu kuweni serious kidogo, hawa watu mnawaumiza kisaikolojia.