Dharau ya Manara kwa TFF nawalaumu Polisi.

Dharau ya Manara kwa TFF nawalaumu Polisi.

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Pamoja na kulinda raia na mali zao, kazi nyingine ya polisi ni kushinikiza watu kufuata taratibu na sheria tulizojiwekea.

Amri, sheria ama marufuku ikiwekwa na idara, taasisi ama chombo kingine chochote ni kazi ya jeshi la polisi kuhakikisha inatekelezwa.

Sasa kwann polisi hawamkamati Manara pale anapokiuka adhabu aliyopewa na TFF ??

Hivi polisi wanataka Karia ndiyo aende kumzuia Manara?

Kufanya hivi hawaoni wnaidhoofisha TFF?

Next time TFf itamfungia nani ikiwa Manara ameigomea?

Tuyaangalie matendo ya Manara kwa jicho pevu pasipo kutanguliza ushabiki. Tutauvuruga mpira wetu.

Screenshot_20220820-195751.png
 
Wakati mwingine wapinzani wa Tanzania unashindwa kuwaelewa . Wanalalamika watu kufungiwafungiwa lakini bado wanamtaka mtu AFUNGIWE .
 
Tumechoka sasa na hizi stori za Manara! Kinyago mkichonge wenyewe, halafu katika hali ya kushangaza! Kinawatisha tena nyinyi wenyewe.
 
Pamoja na kulinda raia na mali zao, kazi nyingine ya polisi ni kushinikiza watu kufuata taratibu na sheria tulizojiwekea.

Amri, sheria ama marufuku ikiwekwa na idara, taasisi ama chombo kingine chochote ni kazi ya jeshi la polisi kuhakikisha inatekelezwa.

Sasa kwann polisi hawamkamati Manara pale anapokiuka adhabu aliyopewa na TFF ??

Hivi polisi wanataka Karia ndiyo aende kumzuia Manara?

Kufanya hivi hawaoni wnaidhoofisha TFF?

Next time TFf itamfungia nani ikiwa Manara ameigomea?

Tuyaangalie matendo ya Manara kwa jicho pevu pasipo kutanguliza ushabiki. Tutauvuruga mpira wetu.

View attachment 2329631
Kama Kawa mama is tagged
 
Hivi manara amewatombea mama zenu... Mbona mnamuandama sana 😂😅
 
Nyie si ndio mlisema TFF haifuati sheria za nchi wala matatizo yake hayaamuliwi na mahakama, sasa mnataka nini serikali ifanye wakati sheria zenu na maamuzi yenu hamtaki serikali au mahakama, au mmesahau polisi ni sehemu ya serikali na inafanya kazi kwa utaratibu wa sheria za nchi na sio TFF, wanafiki wakubwa nyie hamna lolote mnalofanya zaidi ya kula pesa za viingilio na wadhamini
 
Back
Top Bottom